amu
JF-Expert Member
- Aug 8, 2012
- 16,143
- 31,275
anakaa mabibo muonee huruma jamani usikute pia ni mwanafunzi wa mlimani
KakaJambazi Ushindwe na ulegee Latifa umechagua jambo jema.Karibu hapa Kinondoni TAG REVIVAL church karibu na biafra kuna kanisa lenye kumtukuza na kumwinua Bwana Ibada kila jumapili 1.00-4.00 asubuhi na 4.00-7.00 mchana wengi wamemwona Bwana katika maisha yao.
Last edited by a moderator: