Nataka kwenda kuoa Zanzibar

Bongotunacheza

JF-Expert Member
Dec 7, 2018
718
1,643
Habari zenu wana jamvi.

Nisiwachose sana.

Ni hivi, sauti yangu ya ndani inanishuhudia nioe mwanamke wa kizanzibari..

Kuhusu dini Mimi ni Mkristo mwenye vinasaba vya uislamu. Nipo tayari kusilimu wakati wowote ule. Kwanza I am not even a church going person.

Ukristo wangu ni ukristo wenye matege.

How? Sisi ukoo wetu wote ni waislamu. Babu yangu kizaa baba alibadili dini na kuwa mkristo wakati ana muoa bibi kizaa baba. Bibi kizaa baba kwao walikuwa wakristu. Babu yangu alikutana nae alipoenda kutafuta maisha kwenye mkoa ambao una wakristu wengi (nyumbani kwao bibi)

Hata hivyo babu yangu alikuwaga ni wale wakristu wenye kuvaa kanzu na kibaragashia. Still bado alikuwa n.a. " aura" (haiba) ya kiislamu.

Vivyo hivyo kwa Marehemu baba yangu mzazi.

Ndugu zetu karibu wote ni waislamu. Hata kwenye tumbo letu baadhi ya ndugu zangu walipewa majina ya ki islamu walipo zaliwa (sababu?) Baba alikuwa anawapa majina ya babu zake na baba zake wakubwa. Mfano kaka yangu ninae mfuata anaitwa Mohamed ingawa mkatoliki..mtaani kwetu anaitwaga Mohamed Mkristo or simply Mudi Mkristo.

Pamoja na yote Mimi mwenyewe binafsi nimekuwa exposed n.a. uislamu tangu nikiwa mdogo. Mifano nilikuwa naenda madarasa nikiwa mtoto kwa ajili ya kampani ya ndugu zangu upande wa baba (watoto wa baba wakubwa wadogo na mashangazi)

Kwetu sisi si waenda kanisani kihivyo (church goers)

Miaka ya 2000 mwanzoni tulipangishaga mashahidi wa yehova. Kuna siku walikuja na wazungu kumuhubiri baba..alicho waambia ni " nyinyi jeshi la Yehova (aliwaita Jeshi la Yehova) mnataka kusema mnaijua Biblia kuliko Mimi mkatoliki (kiukweli ni kwamba kama ilivyo kwa wakatoliki wengi duniani baba angu hakuwa anaijua biblia kihivyo). Akaendelea kuliko kujiunga na kanisa lenu si bora nirudi kwenye dini yangu ya ukoo (uislamu)

kauli hii ya baba ilipanda kitu kikubwa sana ndani ya nafsi yangu kuhusu uislamu.

Katikati ya miaka ya 2000 dada angu aliolewa na muislamu akabadili dini.

So kwangu Mimi kurejea kwenye uislamu wala hata sio tatizo.

Now kuhusu mwanamke wa kizanzibari.

Kwa muda mrefu sana nimekuwa nilipendezwa kuwa na mke wa.kizanzibari.

Nataka kwenda Zanzibar kwa ajili ya kutafuta mwanamke wa kuoa.

sifa

1. Awe mzanzibari.
2. Umri miaka.16 hadi 23 (asiwe na mtoto) Mimi umri wangu ni miaka 38.
3. Elimu darasa la saba na kuendelea (Mimi elimu yangu ni chuo kikuu nimejiajiri naishi Dar)
4. Awe mcha Mungu.
5. Akiwa mwembamba mrefu nitafurahi zaidi.

Mbinu nitakayo itumia kumpata.

Nataka kwenda Zanzibar then niende msikitini niongee na mzee au wazee niwajulishe adhma yangu.

Je, kwa mbinu hii nitafanikiwa? Wazoefu nipeni mwongozo.

Naweza kwenda hata Pemba.
 
Habari zenu wana jamvi.

Nisiwachose sana.

Ni hivi, sauti yangu ya ndani inanishuhudia nioe mwanamke wa kizanzibari..

Kuhusu dini Mimi ni Mkristo mwenye vinasaba vya uislamu. Nipo tayari kusilimu wakati wowote ule. Kwanza I am not even a church going person.

Ukristo wangu ni ukristo wenye matege.

How? Sisi ukoo wetu wote ni waislamu. Babu yangu kizaa baba alibadili dini na kuwa mkristo wakati ana muoa bibi kizaa baba. Bibi kizaa baba kwao walikuwa wakristu. Babu yangu alikutana nae alipoenda kutafuta maisha kwenye mkoa ambao una wakristu wengi (nyumbani kwao bibi)

Hata hivyo babu yangu alikuwaga ni wale wakristu wenye kuvaa kanzu na kibaragashia. Still bado alikuwa n.a. " aura" (haiba) ya kiislamu.

Vivyo hivyo kwa Marehemu baba yangu mzazi.

Ndugu zetu karibu wote ni waislamu. Hata kwenye tumbo letu baadhi ya ndugu zangu walipewa majina ya ki islamu walipo zaliwa (sababu?) Baba alikuwa anawapa majina ya babu zake na baba zake wakubwa. Mfano kaka yangu ninae mfuata anaitwa Mohamed ingawa mkatoliki..mtaani kwetu anaitwaga Mohamed Mkristo or simply Mudi Mkristo.

Pamoja na yote Mimi mwenyewe binafsi nimekuwa exposed n.a. uislamu tangu nikiwa mdogo. Mifano nilikuwa naenda madarasa nikiwa mtoto kwa ajili ya kampani ya ndugu zangu upande wa baba (watoto wa baba wakubwa wadogo na mashangazi)

Kwetu sisi si waenda kanisani kihivyo (church goers)

Miaka ya 2000 mwanzoni tulipangishaga mashahidi wa yehova. Kuna siku walikuja na wazungu kumuhubiri baba..alicho waambia ni " nyinyi jeshi la Yehova (aliwaita Jeshi la Yehova) mnataka kusema mnaijua Biblia kuliko Mimi mkatoliki (kiukweli ni kwamba kama ilivyo kwa wakatoliki wengi duniani baba angu hakuwa anaijua biblia kihivyo). Akaendelea kuliko kujiunga na kanisa lenu si bora nirudi kwenye dini yangu ya ukoo (uislamu)

kauli hii ya baba ilipanda kitu kikubwa sana ndani ya nafsi yangu kuhusu uislamu.

Katikati ya miaka ya 2000 dada angu aliolewa na muislamu akabadili dini.

So kwangu Mimi kurejea kwenye uislamu wala hata sio tatizo.

Now kuhusu mwanamke wa kizanzibari.

Kwa muda mrefu sana nimekuwa nilipendezwa kuwa na mke wa.kizanzibari.

Nataka kwenda Zanzibar kwa ajili ya kutafuta mwanamke wa kuoa.

sifa
1. Awe mzanzibari.
2. Umri miaka.16 hadi 23 (asiwe na mtoto) Mimi umri wangu ni miaka 38.
3. Elimu darasa la saba na kuendelea (Mimi elimu yangu ni chuo kikuu nimejiajiri naishi Dar)
4. Awe mcha Mungu.
5. Akiwa mwembamba mrefu nitafurahi zaidi.

Mbinu nitakayo itumia kumpata.

Nataka kwenda Zanzibar then niende msikitini niongee na mzee au wazee niwajulishe adhma yangu.

Je, kwa mbinu hii nitafanikiwa? Wazoefu nipeni mwongozo.

Naweza kwenda hata Pemba.
Ingia kwenye Uislam. Jifunze nanuwe unasali sala 5 kwa siku kwa kuanzia. Nenda Zanzibar, India msikiti wowote ulio karibu na wewe, ongea na Imam.

It's as simple as that.

Ma shaa Allah, mama Samia ana mvuto.
 
Ingia kwenye Uislam. Jifunze nanuwe unasali sala 5 kwa siku kwa kuanzia. Nenda Zanzibar, India msikiti wowote ulio karibu na wewe, ongea na Imam.

It's as simple as that.

Ma shaa Allah, mama Samia ana mvuto.
Sahihi kabisa
 
Back
Top Bottom