Nataka kuanza kunywa pombe, naanzaje?

Nataka kuanza kunywa pombe, naanzaje?

Braza Kede

JF-Expert Member
Joined
Nov 1, 2012
Posts
5,165
Reaction score
8,959
Wakuu mimi sio mnywaji ila nimejihisi kufunuliwa nianze kurahaika na pombe haraka sana.

Kitaani kwetu huwa nawaona wanaokunywa pombe wengi wakionekana kujiamini sana na wengi ni watu wenye furaha na uhuru mwingi sana rohoni lakini kikubwa wanavyopendwa na kuzungukwa wengi. Kwa sasa nmeshatia nia, no way back. Haiwezekani lazma namimi niwe mmoja wao wakuu.

Nimejiwasilisha hapa mnipe abc za kufata katika safari yangu hii yenye matumaini tele.

Wapinga maendeleo na haters wote muingie humu kwanza 🚮

Screenshot_20250604-162739_Chrome.jpg
 
Wakuu mimi sio mnywaji ila nimejihisi kufunuliwa nianze kurahaika na pombe haraka sana.

Kitaani kwetu huwa nawaona wanaokunywa pombe wengi wakionekana kujiamini sana na wengi ni watu wenye furaha na uhuru mwingi sana rohoni lakini kikubwa wanavyopendwa na kuzungukwa wengi. Kwa sasa nmeshatia nia, no way back. Haiwezekani lazma namimi niwe mmoja wao wakuu.

Nimejiwasilisha hapa mnipe abc za kufata katika safari yangu hii yenye matumaini tele.

Wapinga maendeleo na haters wote muingie humu kwanza 🚮
Bia moja = Tofali MBILI 🏃🏃 uamuzi ni wako.

Wasalam.
 
Waswahili wanasema bahati ya mwenzio usiilalie mlango wazi
 
Ipi sababu ya kukufanya utamani kutumia kilevi wakati hukuwahi kutumia huko nyuma?

Ni makundi, umeamua kujaribu vitu vipya ama ni msongo wa mawazo?

Binafsi ningekushauri usianze/usijaribu kutumia kilevi.

Usianze kupunguza memory card yako ya Ubongo Kwa Matumizi ya vilevi
 
Wakuu mimi sio mnywaji ila nimejihisi kufunuliwa nianze kurahaika na pombe haraka sana.

Kitaani kwetu huwa nawaona wanaokunywa pombe wengi wakionekana kujiamini sana na wengi ni watu wenye furaha na uhuru mwingi sana rohoni lakini kikubwa wanavyopendwa na kuzungukwa wengi. Kwa sasa nmeshatia nia, no way back. Haiwezekani lazma namimi niwe mmoja wao wakuu.

Nimejiwasilisha hapa mnipe abc za kufata katika safari yangu hii yenye matumaini tele.

Wapinga maendeleo na haters wote muingie humu kwanza
 
Wakuu mimi sio mnywaji ila nimejihisi kufunuliwa nianze kurahaika na pombe haraka sana.

Kitaani kwetu huwa nawaona wanaokunywa pombe wengi wakionekana kujiamini sana na wengi ni watu wenye furaha na uhuru mwingi sana rohoni lakini kikubwa wanavyopendwa na kuzungukwa wengi. Kwa sasa nmeshatia nia, no way back. Haiwezekani lazma namimi niwe mmoja wao wakuu.

Nimejiwasilisha hapa mnipe abc za kufata katika safari yangu hii yenye matumaini tele.

Wapinga maendeleo na haters wote muingie humu kwanza
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom