mimi mtakatifu
JF-Expert Member
- Oct 11, 2019
- 330
- 706
Nimevutiwa sana na story ya Gautama Buddha na nimeamua kutaka kujifunza kuhusu Buddhism kwa lengo la kujiunga na kufuata mafundisho yake.
Kwa sasa sioni Ukristo wala dini yangu ya asili ikinipa matokeo ninayoyatafuta zaidi ya matumaini, hivyo nimeamua kutafuta njia nyingine ya kiroho ninayoamini inaweza kunifaa.
Kwa waliopo Dar es Salaam:
Naomba mwenye uzoefu anielekeze bila judgment. Nataka kuanza kujifunza na kuelewa vizuri, lakini nia yangu ni kujiunga na Buddhism.
Kwa sasa sioni Ukristo wala dini yangu ya asili ikinipa matokeo ninayoyatafuta zaidi ya matumaini, hivyo nimeamua kutafuta njia nyingine ya kiroho ninayoamini inaweza kunifaa.
Kwa waliopo Dar es Salaam:
- Kuna temple/nyumba ya ibada ya Buddhist hapa?
- Nianzie wapi na niende kumuona nani?
- Kuna masharti yoyote kwa mtu anayetaka kujiunga?
- Mtu mweusi Mwafrika/Tanzania anaruhusiwa kujiunga?
Naomba mwenye uzoefu anielekeze bila judgment. Nataka kuanza kujifunza na kuelewa vizuri, lakini nia yangu ni kujiunga na Buddhism.