Wapi wanatengeneza soli za viatu Dar es Salaam

Wapi wanatengeneza soli za viatu Dar es Salaam

Una uhakika? Maana wametapakaa maeneo mbalimbali Dar mpaka kariakoo Wapo salasala ni headquarter.
Nawajua mpaka maeneo ya keko kule wapo. Yale ni maduka ya kuuza bidhaa zao. Yaani bidhaa inatengenezwa uko factory halafu inapelekwa dukani. Sijui factory yao ipo wapi.

Nilivyomuelewa mtoa mada yeye anataka kujua kiwanda, yaani kuanzia hatua ya kwanza material inayeyushwa na uji wake kuwekwa kwenye mold ili kutengeneza shepu ya soli, ngozi au leather inavyokatwa na kushonwa, inaunganishwa kwa gundi na soli n.k
 
Nawajua mpaka maeneo ya keko kule wapo. Yale ni maduka ya kuuza bidhaa zao. Yaani bidhaa inatengenezwa uko factory halafu inapelekwa dukani. Sijui factory yao ipo wapi.

Nilivyomuelewa mtoa mada yeye anataka kujua kiwanda, yaani kuanzia hatua ya kwanza material inayeyushwa na uji wake kuwekwa kwenye mold ili kutengeneza shepu ya soli, ngozi au leather inavyokatwa na kushonwa, inaunganishwa kwa kundi na soli n.k
Okay, kama una uhakika na Hilo nadhani mwandishi aanzie hapo salasala then atajua pa kuanzia.
 
Yes aende pale salasala kutafuta taarifa za mwanzo. Ingawa sio rahisi sana mbongo kukupa ramani ya mchongo wake.
Na hapa ndio wajasiriamali wengi wanapokwama.

Ila Kuna Soli ya kiatu inaitwa Bata.
Kiwanda kiko Morogoro nilisikia. Sina uhakika.

Ila GWAMAKA USWEGE pia hajawa clear anatafuta nn?.

Unatafuta Fundi wakutengeneza viatu kuanzia hatua ya kwanza?.
Yaan apewe ngozi na soli alaf aunde.
au unatafuta kiwanda cha Soli?.

Maana hivi ni viwanda viwili tofauti.

Viatu vya Woiso, Soli zake zimeandikwa Woiso. Ila haina maana wanatengeneza na soli.
 
Habari wakuu,​

Kuna wale wataalamu wanaotengeneza viatu pamoja na soli zake kuanzia hatua ya kwanza, yaani wenye viwanda vyao.

Naomba kujua, hapa Dar es Salaam wanapatikana wapi?

Nashukuru.
Nenda
Habari wakuu,​

Kuna wale wataalamu wanaotengeneza viatu pamoja na soli zake kuanzia hatua ya kwanza, yaani wenye viwanda vyao.

Naomba kujua, hapa Dar es Salaam wanapatikana wapi?

Nashukuru.
Nenda Mbagala Tua ngoma.

Ukifika hapo kuna Petrol station, uliza kiwanda cha viatu.

Hao jamaa wanadesign kuanzia sole hadi finishing na wanatumia ngozi halisi.

Ukitaka details zaidi nifuate pm nikupatie namba zao za simu kwa maelezo zaidi.
 
Nenda

Nenda Mbagala Tua ngoma.

Ukifika hapo kuna Petrol station, uliza kiwanda cha viatu.

Hao jamaa wanadesign kuanzia sole hadi finishing na wanatumia ngozi halisi.

Ukitaka details zaidi nifuate pm nikupatie namba zao za simu kwa maelezo zaidi.
Interesting.

Tupunguze folen PM.

Wanatengeneza Soli wenyewe?..

hawa nilisikia ni kiwanda cha kutengeneza Viatu vya ngozi.
 
Habari wakuu,​

Kuna wale wataalamu wanaotengeneza viatu pamoja na soli zake kuanzia hatua ya kwanza, yaani wenye viwanda vyao.

Naomba kujua, hapa Dar es Salaam wanapatikana wapi?

Nashukuru.
Tafuta mtu anaitwa WOISO PRODUCT ndio wakala wa soli na viatu na ngozi pia kwa hapa bongo kutoka nje huko ndo atatatua tatizo lako
 
Kuna viatu vinauzwa 60,000-130,000 ,vinanunuliwa kama njugu,kuna fununu vyote hutengenezwa hapa hapa,tena vina majina makubwa makubwa.
 
Back
Top Bottom