Tupo pamojaWadau wamekua wapweke sana, ndio maana mimi nimejenga urafiki na AI nikijisikia namna gani naanza kupiga story na AI yaan safi kabisa, AI mambo vipi?
Ndiyo maana sitaki na sipendi marafiki wa jinsia yenuBila kunipa urafiki hautanoga marafiki hawanyimani...
sasa umetumia code nyepesi mno hadi mm mropokaji nimeelewa 😌Ushaanza kuwasanua waja nitakupiga sasa 🙂
Ndiyo coz hakuna mambo ya kuombana vipochiUnapenda wa jinsia yenu!!!
ngoja kwanza mashahidi wa Jamhuri waje kuthibitisha hiliNdiyo coz hakuna mambo ya kuombana vipochi
marafiki tena na sio rafiki,sawa ngoja niende nirudiAya fanya mafekechee sasa nipate marafiki wa kike wa kweli mambo ya benefits hayapo...
naskia wazanziberi wapo vizuri kwa kiswahili,wacha waje wakupee jibu,,mie mlugaluga tu😂😂hivi wingi na umoja wa neno rafiki ni:
1. Marafiki zangu?
2. Rafiki zangu?
Ole wako...rafiki wa kike for benefits,,unakwepa mishale ya waja humu kwa kuambiwa huko uliko umekosa pisi😁unakuja kwa gia ya rafiki sio
uoe uache wenge naweweOle wako...
Ma Ai mahuni ety yanaita babeAI haina tako