Natafuta rafiki wa kike, mengine tutayajenga

Natafuta rafiki wa kike, mengine tutayajenga

Hivi hii ni aina nyingne ya biashara huko daslam au naona kama kuna boom la kutafta marafiki na wapenzi humu, kama ni fursa mzee Nomadix tufahamishane
Aione:
Kijana Masikini
Mkuu sisi wengine tuna mambo mengi mtaani kiasi hatuna muda wa kitafuta wapenzi ndiyo maana tunakuja kutafuta humu, na kimsingi wapo tunaofanikiwa mfano mimi.

Cc: Marry Diana
 
KWEMA WANAJUKWAA.

Naamini JamiiForums kuna genuine ladies wasio na mambo mengi, watulivu, wasikivu, wacheshi, wenye urafiki wa kweli.

Ningependa ujitokeze unaewiwa kutaka tuwe marafiki, umri ni miaka 20 hadi 29. Mkazi wa popote nchini, elimu yoyote, kazi yoyote halali.

Natanguliza shukrani kwenu, nitafurahi kupata marafiki.
Ahsante!
Katika huu urafiki utakua unamsaidia rafiki yako wa kike hela ya kusuka? Gas, simu ikivunjika kioo, marejesho na mtaji??

Au mwongozo wa urafiki ukoje.
 
KWEMA WANAJUKWAA.

Naamini JamiiForums kuna genuine ladies wasio na mambo mengi, watulivu, wasikivu, wacheshi, wenye urafiki wa kweli.

Ningependa ujitokeze unaewiwa kutaka tuwe marafiki, umri ni miaka 20 hadi 29. Mkazi wa popote nchini, elimu yoyote, kazi yoyote halali.

Natanguliza shukrani kwenu, nitafurahi kupata marafiki.
Ahsante!
Inbox
 
KWEMA WANAJUKWAA.

Naamini JamiiForums kuna genuine ladies wasio na mambo mengi, watulivu, wasikivu, wacheshi, wenye urafiki wa kweli.

Ningependa ujitokeze unaewiwa kutaka tuwe marafiki, umri ni miaka 20 hadi 29. Mkazi wa popote nchini, elimu yoyote, kazi yoyote halali.

Natanguliza shukrani kwenu, nitafurahi kupata marafiki.
Ahsante!
Sasa umri wa nini kwenye urafiki jamani🙆‍♂️🙆‍♂️
Usiwe kama Half american
 
KWEMA WANAJUKWAA.

Naamini JamiiForums kuna genuine ladies wasio na mambo mengi, watulivu, wasikivu, wacheshi, wenye urafiki wa kweli.

Ningependa ujitokeze unaewiwa kutaka tuwe marafiki, umri ni miaka 20 hadi 29. Mkazi wa popote nchini, elimu yoyote, kazi yoyote halali.

Natanguliza shukrani kwenu, nitafurahi kupata marafiki.
Ahsante!
Njoo DM
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom