Ndiyo, nina mdogo wangu mmoja alipotea humu ila now amerudi.Vipi unataka unipe mmoja
Yule aliyekukataa na uzuri wako sababu huna hela 😅Nani huyo!
Eeendiyoooooo 🤣🤣🤣🤣Madam Presida
Tupo pamoja mkuu, muhimu wawe wanajitambua halafu unachagua anayejitambua zaidi.kazi kweli kweli, kuna mmoja anakuja hivi halafu kama anaondoka ! Kuna mwingine unyama sana, wadau mliupiga mwingi kunipigia pande mlicheza kama Pele!