goldie ink
JF-Expert Member
- Oct 6, 2016
- 5,634
- 9,151
dawa nyingine ya panya wawekee tochi kama kwenye store room, then vunja vioo vipande vipande aisee wote watakimbia maana watakuwa wakitazama wanajiona nusu nusu wanahama mji, ila wakifundua umewafanyia mchezo wanahama chumba huo mziki wake unaweza ukakuta namba ya vyeti vyako zimeliwa
wakigundua wanakukomesha na wewe kwa kuwatesa..Paka wake ana sifa mbaya.. Malayachonga na huyu jamaa atakupa bure paka wake Paka wangu anazaa mnoo, nifanyeje wadau?
vipe atleast mwezi or so chini ya hapo ukiwatoa kwa mama yao wanakuwa prone to deseases kwaninkinga yao inakuwa ndogo kwa kukosa maziwa ya mama!Kama vinatembea naomba
Yatawasaidia wasiwe na njaa ila kuna risk kubwa ya kuwa na paka mgonjwa mgonjwa ukimchukua mapema sanaMaziwa ya ng'ombe hayawasaidii kwani
Mbona kma anamshangao hivi, au ulishamueleza kwamba unamuhamisha mjiHuyo hapo, nipe kilo 50 mkuu![]()






Ni tatizo.. Wanapiga route tu umu ndani.. Wameniharibia hadi subwoofer
Yaaaan mkuuu kama ulimwambia njooo nikupige picha_haahahahahhahahaNapenda paka ila huyu hata bure simtaki
Unabahatisha tu mkuuUnaijuaje sasa Og
Aisee...sikulijua hili ngoja nilifanyie kazi.wapenda paka wana sifa za kipekee sana. jaribu kufanya utafiti..
dawa nyingine ya panya wawekee tochi kama kwenye store room, then vunja vioo vipande vipande aisee wote watakimbia maana watakuwa wakitazama wanajiona nusu nusu wanahama mji, ila wakifundua umewafanyia mchezo wanahama chumba huo mziki wake unaweza ukakuta namba ya vyeti vyako zimeliwa
huu uzi umekuwa burudani tosha kwangu!Yaaaan mkuuu kama ulimwambia njooo nikupige picha_haahahahahhahaha
kila nikimwangalia hamu yangu ya paka inaniisha


jaribu kupitia haya.Aisee...sikulijua hili ngoja nilifanyie kazi.
Au unisaidie kunambia sifa yetu?