goldie ink
JF-Expert Member
- Oct 6, 2016
- 5,634
- 9,153
[emoji23] [emoji13] [emoji1] [emoji119] [emoji119]Watakuwa na rangi mbaya wale
[emoji23] [emoji13] [emoji1] [emoji119] [emoji119]Watakuwa na rangi mbaya wale
[emoji23] [emoji23] wakigundua wanakukomesha na wewe kwa kuwatesa..dawa nyingine ya panya wawekee tochi kama kwenye store room, then vunja vioo vipande vipande aisee wote watakimbia maana watakuwa wakitazama wanajiona nusu nusu wanahama mji, ila wakifundua umewafanyia mchezo wanahama chumba huo mziki wake unaweza ukakuta namba ya vyeti vyako zimeliwa
Paka wake ana sifa mbaya.. Malayachonga na huyu jamaa atakupa bure paka wake Paka wangu anazaa mnoo, nifanyeje wadau?
vipe atleast mwezi or so chini ya hapo ukiwatoa kwa mama yao wanakuwa prone to deseases kwaninkinga yao inakuwa ndogo kwa kukosa maziwa ya mama!Kama vinatembea naomba
Yatawasaidia wasiwe na njaa ila kuna risk kubwa ya kuwa na paka mgonjwa mgonjwa ukimchukua mapema sanaMaziwa ya ng'ombe hayawasaidii kwani
Mbona kma anamshangao hivi, au ulishamueleza kwamba unamuhamisha mji[emoji3][emoji23][emoji16][emoji3][emoji23][emoji16]Huyo hapo, nipe kilo 50 mkuu![]()
Ni tatizo.. Wanapiga route tu umu ndani.. Wameniharibia hadi subwoofer
Yaaaan mkuuu kama ulimwambia njooo nikupige picha_haahahahahhahahaNapenda paka ila huyu hata bure simtaki
Unabahatisha tu mkuuUnaijuaje sasa Og
Aisee...sikulijua hili ngoja nilifanyie kazi.wapenda paka wana sifa za kipekee sana. jaribu kufanya utafiti..
[emoji23] [emoji23] [emoji23] huu uzi umekuwa burudani tosha kwangu!dawa nyingine ya panya wawekee tochi kama kwenye store room, then vunja vioo vipande vipande aisee wote watakimbia maana watakuwa wakitazama wanajiona nusu nusu wanahama mji, ila wakifundua umewafanyia mchezo wanahama chumba huo mziki wake unaweza ukakuta namba ya vyeti vyako zimeliwa
[emoji23] [emoji23] [emoji23] kila nikimwangalia hamu yangu ya paka inaniishaYaaaan mkuuu kama ulimwambia njooo nikupige picha_haahahahahhahaha
Mchagua jembe si mkulima, chukua huyo mwenye sura ya kazi [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
jaribu kupitia haya.Aisee...sikulijua hili ngoja nilifanyie kazi.
Au unisaidie kunambia sifa yetu?