whitehorse
JF-Expert Member
- Aug 29, 2009
- 2,570
- 4,450
Nasumbuliwa na panya waliokosa heshima kabisa.. Kama una paka ambaye ana roho mbaya hata kama unauza ntanunua tafadhali... Akiwa mdogo atafaa zaidi.. Nipo Dar Chang'ombe
Paka mwenye roho mbaya












Nasumbuliwa na panya waliokosa heshima kabisa.. Kama una paka ambaye ana roho mbaya hata kama unauza ntanunua tafadhali... Akiwa mdogo atafaa zaidi.. Nipo Dar Chang'ombe












Umenikumbusha....njia nzuri ya kuwaua,kata nyanya uinyunyuzie unga wa vidonge vya indocide kisha iunganishe vizuri uiweke sehemu ambayo unajua wataifikia ila usiiache wazi sana maana watashka.Ndo wanakula adi nyaya mkuu.. Tuwaache tu
Nasumbuliwa na panya waliokosa heshima kabisa.. Kama una paka ambaye ana roho mbaya hata kama unauza ntanunua tafadhali... Akiwa mdogo atafaa zaidi.. Nipo Dar Chang'ombe





Itabidi niitafute nkikosa paka.. Mi paka nawapenda.. Hata kama hamna panya.. Huwa naona wananipa companyKuna dawa inapatikana maduka ya zana za kilimo. Ni nyeusi inafanana na ulezi. Unachanganya na unga tu wanakula wanakufa 2feet kutoka dawa ilipo. Hawafii mbali na wanaifuata nasikia inavutia sana pua zao.
Paka siwapendi ukiweka paka kwako siwezi kuja tena.![]()
Sasa c adi ujue wanapenda nyaya zipi.. Unaezajikuta umekata nyaya kibaoUmenikumbusha....njia nzuri ya kuwaua,kata nyanya uinyunyuzie unga wa vidonge vya indocide kisha iunganishe vizuri uiweke sehemu ambayo unajua wataifikia ila usiiache wazi sana maana watashka.
Kata nyanya 2 tu ndio uwawekeeSasa c adi ujue wanapenda nyaya zipi.. Unaezajikuta umekata nyaya kibao
Kama upo serious njoo pm.Nasumbuliwa na panya waliokosa heshima kabisa.. Kama una paka ambaye ana roho mbaya hata kama unauza ntanunua tafadhali... Akiwa mdogo atafaa zaidi.. Nipo Dar Chang'ombe
Nimekuelewa sana,maana kwangu panyaNasumbuliwa na panya waliokosa heshima kabisa.. Kama una paka ambaye ana roho mbaya hata kama unauza ntanunua tafadhali... Akiwa mdogo atafaa zaidi.. Nipo Dar Chang'ombe
Kumbe unaelewa eeh kero za panya.. Sasa mm wamefikia hatua hadi mchana kweupee wanajipitisha pitisha bila hata aibu.. Kinachonitia hasira zaidi ni wanakula nyaya..Nimekuelewa sana,maana kwangu panya
walifanya niogope kupata wageni.
walitoboa makochiwakawa wanaishi humo ndani
ukiweka dawa wanafia ndani ya makochi wananuka.
Jioni unaona wanaanza kucheza hata kama mmekaa
sebureni.
Baada ya kumpata paka mchezo wote uliisha.
Ila mimi nilimleta paka mdogo,nikamlea kwa kumpa maziwa
akawa anacheza akawa anacheza nao.
Alipokua sikujua alijifunzia wapi kuwala,aliwatafuna wote,
sasa amekua na amezaa watoto.
Nasumbuliwa na panya waliokosa heshima kabisa.. Kama una paka ambaye ana roho mbaya hata kama unauza ntanunua tafadhali... Akiwa mdogo atafaa zaidi.. Nipo Dar Chang'ombe