Ninae paka watatu nyumbani mdogo Yupo mmojaNasumbuliwa na panya waliokosa heshima kabisa.. Kama una paka ambaye ana roho mbaya hata kama unauza ntanunua tafadhali... Akiwa mdogo atafaa zaidi.. Nipo Dar Chang'ombe
Panya wa mjini nouma wajanja sana...ukiwatega na mtego wa panya wanakula chambo na mtego haufyatuki.Duuh panya wa mjini shida tu...
Hahah!! Naivi wanajua kuandika basi Ukitega sumu unakuta wameacha memo kabisa ...SISI SIO WAJINGA...Panya wa mjini nouma wajanja sana...ukiwatega na mtego wa panya wanakula chambo na mtego haufyatuki.
Ukiwawekea sumu hawali....
MachafuPanya wanapenda mazingira yapi?
Nikiangalia avatar yako na huu uzi wako najisikia kuchekaWapo maeneo gani nijotolee kumfata huyo mdogo
Napenda paka ila huyu hata bure simtakiHuyo hapo, nipe kilo 50 mkuu
Maskini....pole!Ni tatizo.. Wanapiga route tu umu ndani.. Wameniharibia hadi subwoofer
Duh! Hao panya wako wamezidi lol!Hahah!! Naivi wanajua kuandika basi Ukitega sumu unakuta wameacha memo kabisa ...SISI SIO WAJINGA...
ninae mmoja kazaa watoto watatu njoo uchukue utawalea mwenyewe hadi wakueNasumbuliwa na panya waliokosa heshima kabisa.. Kama una paka ambaye ana roho mbaya hata kama unauza ntanunua tafadhali... Akiwa mdogo atafaa zaidi.. Nipo Dar Chang'ombe
Napenda paka ila huyu hata bure simtaki