Avatar
JF-Expert Member
- Mar 7, 2012
- 11,128
- 11,937
Nasumbuliwa na panya waliokosa heshima kabisa.. Kama una paka ambaye ana roho mbaya hata kama unauza ntanunua tafadhali... Akiwa mdogo atafaa zaidi.. Nipo Dar Chang'ombe
Paka wangu kazaa vitoto bado vinanyonya
