Natafuta mwanaume Dodoma

Natafuta mwanaume Dodoma

Kabisaa, yaani ujumbe umedakwa na mafisi yanayotoka udenda wa kula nyama.

Nataka tu tufarijiane maana unaweza jikuta unadondoka unazimia unakufa kisa una mambo umeyaweka moyoni na huna wa kushare nae, wanaume wanakufa mapema sababu hawashei na mtu mambo yao yanayowaumiza of which is not okay kwa kweli, unaposhare na mtu ndio unapona nafsi yako, wengine wameona suruhu ni pombee na mimi nakunywa sasa hukohuko kwenye kulewa ndio tutakuwa tunaongea na kufarijiana na kurudisha tabasamu.

Umri wangu ni miaka mia na tatu mpenzi
Haahahaha. Nimefurahi ssna mkuu.

Hayo mafisi yenye kuchuruzikwa denda la uchu wa kutafuna, ukimalizana nayo, nipe mrejesho mkuu, tafadhali nakuomba.
 
Kama ww ni mwanaume una stress za mapenzi, kazi au familia naomba tukutane nikufariji tulewe tupate tabasamu jipya.

Usiri ni muhimu, so unaweza kuwa huru na mimi kusema chochote usiumie mwenyewe moyoni usije ukafa mapema jamani.

Wanaume mnauguliaga ndani maumivu so nipo kwa ajili ya kuponya maumivu yako ya ndani, sipendi kuona ukiteseka kwa stress wakati mimi nipo.

Nipo rikizo kwa sasa so karibu tupeane faraja.

Wako mtiifu
Tundazuri
Wapenda mix by yas mnaitwa huku
 
Noma sana
 

Attachments

  • IMG_3918.jpeg
    IMG_3918.jpeg
    32.8 KB · Views: 7

Similar Discussions

Back
Top Bottom