Transisco06
JF-Expert Member
- Feb 23, 2025
- 1,033
- 1,004
Duuu mimi silewi ila Niko block ningetia timu hapo DomUnadhani wotee watakuja, hapa yaweza kuwa target ni wewe, but napenda sana kushare love na walevi wenzangu, tuonyeshane upendo woyoooo
Duuu mimi silewi ila Niko block ningetia timu hapo DomUnadhani wotee watakuja, hapa yaweza kuwa target ni wewe, but napenda sana kushare love na walevi wenzangu, tuonyeshane upendo woyoooo
nawakumbusha tu huyu alieandika hapa sio mwanamke.Kama ww ni mwanaume una stress za mapenzi, kazi au familia naomba tukutane nikufariji tulewe tupate tabasamu jipya.
Usiri ni muhimu, so unaweza kuwa huru na mimi kusema chochote usiumie mwenyewe moyoni usije ukafa mapema jamani.
Wanaume mnauguliaga ndani maumivu so nipo kwa ajili ya kuponya maumivu yako ya ndani, sipendi kuona ukiteseka kwa stress wakati mimi nipo.
Nipo rikizo kwa sasa so karibu tupeane faraja.
Wako mtiifu
Tundazuri
Vp arusha je hutaki?Kama ww ni mwanaume una stress za mapenzi, kazi au familia naomba tukutane nikufariji tulewe tupate tabasamu jipya.
Usiri ni muhimu, so unaweza kuwa huru na mimi kusema chochote usiumie mwenyewe moyoni usije ukafa mapema jamani.
Wanaume mnauguliaga ndani maumivu so nipo kwa ajili ya kuponya maumivu yako ya ndani, sipendi kuona ukiteseka kwa stress wakati mimi nipo.
Nipo rikizo kwa sasa so karibu tupeane faraja.
Wako mtiifu
Tundazuri
Nani kamega donat langu jamanKama vile....
View attachment 3304957
😳Kama vile....
View attachment 3304957
Nmeishia hapa, we camaraaaaaaa unaenda wapiUsiri ni muhimu