Natafuta mwanamke wa kuoa aliyekuwepo morogoro au mpanda ili niweze kuhama

Natafuta mwanamke wa kuoa aliyekuwepo morogoro au mpanda ili niweze kuhama

Zee la madawa

JF-Expert Member
Joined
Nov 28, 2022
Posts
1,728
Reaction score
4,075
Wakuu kama kuna mwanamke hapa mwajiriwa aliyepo morogoro au mpanda nifunge nae ndoa ili niweze kuhama huku niliko wilaya ya pangani mkoa wa Tanga mimi ni muajiriwa sekta ya Afya maana huku niliko nahisi nitakufa masikini kwa kujitakia!Tafadhalini ajitokeze PM iko wazi......
 
Back
Top Bottom