umri wangu ni mkubwa kwa hiyo huwezi ukawa na mtu ambaye maisha yake anawaza mtoko mara TAARAB, DISKO nk , kwanza maendeleo, mengine baadaye. na kama wote tutakuwa na watoto ni rahisi watoto wakatuunganisha na hakuna atakayefanya upuuzi kwa mwenzake kama cheating n.k , as far as kuna miradi ya kuungalia for the future of our childrens
Kama nna miaka 50 na nina vigezo vyote hivyo na pia mzuri hatari. Niku pm?