uvugizi
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 1,351
- 1,099
ningependa kupata mwanamke aliye tayari kuishi na mimi kama mke , ambaye anaweza kumiliki miradi hata kama sipo kwa uaminifu mkubwa . kwa kuwa na mimi ni baba wa watoto 2 wakubwa , ningependa mwenza wangu naye awe na watoto angalau wawili ku balance maisha ya kifamilia, na no kuzaa na tuwe kitu kimoja , lakini awe business oriented , ajue kufuga kuku, ngombe kuweza ku deliver consignement zaidi ya mikoa 3 yaani mtu wa kusafiri mara order inapohitajika . awe msomi angalau kidato cha 4 kuendelea, aged 35yrs na zaidi . aliye serious ani pm, no jokes . sungura tope na gold diggers msijisumbue​