Zabron Hamis
JF-Expert Member
- Dec 19, 2016
- 6,511
- 10,417
Unafikiri wakubwa zako hawawaoni?Bro naskia mwanamke mwenye umri mkubwa ndo huwa ana mapenzi ya dhati
Sent using Jamii Forums mobile app
Unafikiri wakubwa zako hawawaoni?Bro naskia mwanamke mwenye umri mkubwa ndo huwa ana mapenzi ya dhati
Sent using Jamii Forums mobile app
Wakubwa zetu wamehamia kwa wadogoUnafikiri wakubwa zako hawawaoni?
Kuna tetesi kuwa ukidate na watu waliokuzidi umri unawahi kuzeeka kuliko anayedate wa umri wake.Wakubwa zetu wamehamia kwa wadogo
Ngoja na sisi twende kwa wakubwa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Watu wanafiki sana. Waulize wao wakati wanasoma hawakuwa na wapenzi. Wengine wameanza toka primary halafu hapa wanajidai wao malaika. Ukishabalehe genye hazina umri labda uwe na matatizo ya kiafya.Ila wabongo huwa tunakosea sana mda mwingine (hata mimi).
Mtu anatafuta mpenzi watu wanakuja kumpa ushauri kuhusu mapenzi na maisha.
DuhKuna tetesi kuwa ukidate na watu waliokuzidi umri unawahi kuzeeka kuliko anayedate wa umri wake.