Natafuta mume mwenye watoto/mtoto

Natafuta mume mwenye watoto/mtoto

siku hizi kuoana imekuwa changamoto sana..........mtu anazunguka kote breki ya mwisho JF (kwa mwanachama lakini) je wasio wanachama wao breki yao wapi........?
 
Not fair bro.

Kama huna interest nae pita kimya badala ya kumchafulia jina.

Amekukosea nini?

Are all your sisters married? Because it could be one if them using an anonymous ID.
Gwisaa Ngoshaaaa! Proposal za kuomba kuolewa zitakuwa nyingi mwaka huu!
 
Nipo kwenye ndoa mkuu.

Sipendagi watu wanavyowachukuliaga single women kama vile ni criminals.

Kumuita take away haipendezi.
Umekuwa too emotional! Kupanga ni kuchagua,kuna wengi ni masingle mother kwa kupenda siyo fate!
 
Mimi ni single mum na mtoto wa mmoja wa Miaka 2
Elimu niña diploma ya design
Kabila: mchaga
Dini: mkatoliki
Umri wangu n 27
Natafuta mwanaume anayejielewa, mcha Mungu, mwenye shughuli ya kufanya. Mengineyo anicheki pm
niko tayri kama uko serious
Mimi ni single mum na mtoto wa mmoja wa Miaka 2
Elimu niña diploma ya design
Kabila: mchaga
Dini: mkatoliki
Umri wangu n 27
Natafuta mwanaume anayejielewa, mcha Mungu, mwenye shughuli ya kufanya. Mengineyo anicheki pm
tuyajenge ila baada ya kuwa tumeelewana tuma email
 
Mimi ni single mum na mtoto wa mmoja wa Miaka 2
Elimu niña diploma ya design
Kabila: mchaga
Dini: mkatoliki
Umri wangu n 27
Natafuta mwanaume anayejielewa, mcha Mungu, mwenye shughuli ya kufanya. Mengineyo anicheki pm
Me
 
Mimi ni single mum na mtoto wa mmoja wa Miaka 2
Elimu niña diploma ya design
Kabila: mchaga
Dini: mkatoliki
Umri wangu n 27
Natafuta mwanaume anayejielewa, mcha Mungu, mwenye shughuli ya kufanya. Mengineyo anicheki pm
Mchaga!!!
Inasemekana kuwa mwanamke wa kichaga wakitengana na mwanaume
Watoto/mtoto haachwi kwa baba yake
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom