Natafuta mume mwenye watoto/mtoto

Mimi ni single mum na mtoto wa mmoja wa Miaka 2
Elimu niña diploma ya design
Kabila: mchaga
Dini: mkatoliki
Umri wangu n 27
Natafuta mwanaume anayejielewa, mcha Mungu, mwenye shughuli ya kufanya. Mengineyo anicheki pm
NI SHIIDAAAAAAADA!!!!!!!
 
Mimi ni single mum na mtoto wa mmoja wa Miaka 2
Elimu niña diploma ya design
Kabila: mchaga
Dini: mkatoliki
Umri wangu n 27
Natafuta mwanaume anayejielewa, mcha Mungu, mwenye shughuli ya kufanya. Mengineyo anicheki pm
karibu uwe jiko la pili
 
aisee upo serious nimeangalia meseji zako!
Nafikiri utapata tu
 
Kuna jamaa nimemsoma mda si mrefu anatafuta mke, vigezo vyake ni kama unavyo ngoja nimtafute ila yeye anadai ana watoto kadhaa.
Nimempata mkuu tafuta hili jina mkuu labada mtaelewana
MSAMI naye anatafuta mke.
 
Mimi ni single mum na mtoto wa mmoja wa Miaka 2
Elimu niña diploma ya design
Kabila: mchaga
Dini: mkatoliki
Umri wangu n 27
Natafuta mwanaume anayejielewa, mcha Mungu, mwenye shughuli ya kufanya. Mengineyo anicheki pm
Simple and clear! Hope utampata was kukufaa.
 
Mimi ni single mum na mtoto wa mmoja wa Miaka 2
Elimu niña diploma ya design
Kabila: mchaga
Dini: mkatoliki
Umri wangu n 27
Natafuta mwanaume anayejielewa, mcha Mungu, mwenye shughuli ya kufanya. Mengineyo anicheki pm

Upon serious lakin?
 
Mimi ni single mum na mtoto wa mmoja wa Miaka 2
Elimu niña diploma ya design
Kabila: mchaga
Dini: mkatoliki
Umri wangu n 27
Natafuta mwanaume anayejielewa, mcha Mungu, mwenye shughuli ya kufanya. Mengineyo anicheki pm
single mum wengi huwa hawataki tena kuwa na ndoa, ila wewe umeona ni jema kuwa na Ndoa.
Ni vizuri na vitabu vitakatifu vinasema ndoa na iheshimiwe na watu wote.Mungu akutangulie kwenye hili umpate mwenzio.
 
Mimi ni single mum na mtoto wa mmoja wa Miaka 2
Elimu niña diploma ya design
Kabila: mchaga
Dini: mkatoliki
Umri wangu n 27
Natafuta mwanaume anayejielewa, mcha Mungu, mwenye shughuli ya kufanya. Mengineyo anicheki pm
hapo kwenye kabila hapo ndio tatizo, kama kweli mcha mungu hebu mrudie Mme wako mlee mtoto wenu. unataka mcha mungu wakati wewe haumchi mungu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom