Natafuta mume mwenye watoto/mtoto

Natafuta mume mwenye watoto/mtoto

Mimi ni single mum na mtoto wa mmoja wa Miaka 2
Elimu niña diploma ya design
Kabila: mchaga
Dini: mkatoliki
Umri wangu n 27
Natafuta mwanaume anayejielewa, mcha Mungu, mwenye shughuli ya kufanya. Mengineyo anicheki pm
Nina watoto wawili kabila mchaga miaka 30 nina bachelor nafanya PSPF najielewa... Kama hutojali ni PM
 
Kwa upande wangu mimi...ndoa sio kitu cha kukimbilia kabisaaa mshukuru Mungu una hiyo diploma fanya kazi mwanao ale asome....kama baba mtoto alizingu hakuna uhakika utakaempata hatakua na matatizo yake, wewe sali Mungu atakuletea wa kwako kwaw wakati uliokubalika mbinguni na duniani.... for now muangalie kwanza mwanao dada.
 
Mimi ni single mum na mtoto wa mmoja wa Miaka 2
Elimu niña diploma ya design
Kabila: mchaga
Dini: mkatoliki
Umri wangu n 27
Natafuta mwanaume anayejielewa, mcha Mungu, mwenye shughuli ya kufanya. Mengineyo anicheki pm
Mwandiko wako tu umekuumbua au labda utakua na diploma ya kupika[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mimi ni single mum na mtoto wa mmoja wa Miaka 2
Elimu niña diploma ya design
Kabila: mchaga
Dini: mkatoliki
Umri wangu n 27
Natafuta mwanaume anayejielewa, mcha Mungu, mwenye shughuli ya kufanya. Mengineyo anicheki pm
Utakubali kua na mke mwenzio?....[emoji85] [emoji85]
 
Kuweni wastarabu just cause natafuta mume mnishambulie kwa ujinga then ninyamaze tu kisa kuogopa ntakosa mtu that aint me ukini dharau niite take away mbuzi ol those stuffs ntakujibu tu bora nikose mume ila si mtu kuntukana yea am single mom so what i don't depend on u hata siwajui ati niweke my pic ur not a judge to judge me. Nahitaji mtu serious huna vigezo pita hivi -_- >> si lazima uandike grow up guys acheni utoto.
 
Mimi ni single mum
Natafuta mwanaume anayejielewa, mcha Mungu, mwenye shughuli ya kufanya. Mengineyo anicheki pm
mm hapa umeshapata wala uc nawaswas nnakaz nzur tu nauza kalanga nna mkokoten wakuuzia wakisasa..new model
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom