Natafuta mume mwenye watoto/mtoto

Natafuta mume mwenye watoto/mtoto

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]mbavu zangu mie...[emoji119][emoji119][emoji119]we mshindi aise


Haya niambie niprove kwa kufanya nini..

The choice is yours.
 
hapo kwenye kabila hapo ndio tatizo, kama kweli mcha mungu hebu mrudie Mme wako mlee mtoto wenu. unataka mcha mungu wakati wewe haumchi mungu
huwezi kujua kama na mvha Mungu au sio thats not into u to know
 
Kumbe ndo maana ulizalishwa na kuachwa, DINI-mkatoliki ndo nini? ELIMU-Diploma ya design,ndo diploma gani hiyo? tafuta alofiwa na mke labda atakuoa..!!
oya si lazima ujibu dnt spoil ma day dini elimu yangu haikuhusu. grow up acha ushamba wa mtandao
 
Huku mtandaoni wapo wengi tu watakuzodoa. Wengine ni wale 'kula kwa shemeji' wakisikia wewe ni Mchaga nao ni watafutaji wanaogopa. So wanaleta mambo ya kipuuzi. Lakini sio ubaki tu kutegemea kuulizia humu JF mwombe Mungu. Alisema mume/mke mwema anapatikana kwa Bwana (Mith 19:24). Halafu usijiachie kwa kidume chochote hata kama anatoa na mahari kabisa mpaka baada ya ndoa. Kama amekupenda kweli na sio anatamani tu kukutumia atasubiri
 
Kipindi hiki cha awamu ya tano naona mabandiko ya namna hii yameshika kasi.
napenda kujua,umejiunga jana jf specifically kutafuta mwenza.kwanini unadhani mtandao huu ni ideal ground ya sample yako?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom