ngoma ya ukae
JF-Expert Member
- Feb 8, 2017
- 611
- 621
Mchagua nazi sikuzote hupata koroma. ..
fursa hiyoAseeeeh
Hahahhh ukiona comment yake ya Aiseee lazima uisomeMkuu sijui kwanini nimetokea kukukubali sana japo sikujui..huwa siachag kusoma comment yako lazima niisome tu.
HahahhhhWewe ni KE aseeh! !
tehe tehe tehe baelezeeInahusu nini? Amesema anatafuta baba mtoto wake?
Kipi kikuchekeshekachocho (sijakosea)[emoji85][emoji85]Hahahhhh
Hahahhh umepatia we si mzee wa fursaKipi kikuchekeshekachocho (sijakosea)[emoji85][emoji85]
Ana zawadi yako. Chungulia ebu pm kama hajaisahau huko.Bonny unamwita aje anichape au
Ebu usimtishe mtoto wa watu...ungejua kwa waziri mkuu wangu kulivyokukavuuu [emoji24][emoji24]Hahahhh umepatia we si mzee wa fursa
hahahhh bonny kama ana zawadi yangu itakuja tuAna zawadi yako. Chungulia ebu pm kama hajaisahau huko.
Na mimi nimetokea kukukubali sana aiseeh..Niubinadamu tu Banaange. Don't get twisted. Damu unakuta zinaendana.
Kwema lakini mkuu.
Hivi kwa waziri mkuu kunajaaga kumbe wengine tumeshasahau kama kuna sehemu inaitwa kwa waziri mkuuEbu usimtishe mtoto wa watu...ungejua kwa waziri mkuu wangu kulivyokukavuuu [emoji24][emoji24]
Kuna vitoto humu vitaipokea...oohooohahahhh bonny kama ana zawadi yangu itakuja tu
Na mimi nimetokea kukukubali sana aiseeh..
Nilikuwa natafuta pa kutokea...alhamdulillah.
Kwema lakini?
Safisha nyota.Hivi kwa waziri mkuu kunajaaga kumbe wengine tumeshasahau kama kuna sehemu inaitwa kwa waziri mkuu
Yes..I'm fine daby..Khaaa..yaani unasubiria tuwe na wajukuu ndiyo unieleze hayo?
Daily tulipishana huko majukwaani [emoji54].
Kwema pat...hope you're doing well.
Haya mpendwa karibu..Yes..I'm fine daby..