Natafuta mtu wa kuzaa nae watoto watatu bila ndoa

No ties ataruhusiwa nlipompangia kuleta wanaume mm tutakutana siku za uzazi tu sio starehe hizo apeleke kwa romantic boyfriend .kutoka sio kwenda kulala na mm akimaliza msosi na savana 7 anaondaka ananiacha na demu wangu
Umesema una hela? Kwa nini usitafute surrogate, or else opt for test tube babies.?

Waheshimu mama na dada zetu tafadhali.
Naamini, haipo nafsi iliyokosa kujithamini kiasi cha kutimiza hivyo vigezo vyako vya kishenzi eti ili alipiwe kodi ya chumba na kupewa mtaji etc..ili akuzalie watoto.
 
Mgegedane siku za hatari tu then arudi kwa boyfriend wake kuendelea na mgegedo??? ??? Na mzae watoto 3???
Chukua huyo mtu weka ndani mzae mlee watoto au wewe ulilelewa kwa style hiyo na wazazi wako???
Au unataka kuanzisha ukoo wenye lifestyle hii??
Kiafya
Kimaadili
Kidini
Kimila
Kimaendeleo
Kijamiii
Si sawa.....jaribu kubadilisha huo mtazamo.
Kila la kheri.
 
Anachozungumza mleta mada yupo sahih, huwezi pata upendo, sex na ndoa bora kwa mwanamke mmoja lazima umpe kila mmoja jukum analoliweza.
Anaeweza kukupenda mpende pia
Anaeweza kukupa sex makini mpe nafasi
Na anaeweza kukuzalia watoto mpe mimba.

Kisha wote waruhusu waendelee na maisha yao nje ya hayo majukum yako msigandane.

Mambo ya kutaka Upendo, Sex, Watoto na ndoa kwa mwanamke mmoja ni unyanyasaji wa kijinsia na kujilimbikizia ajira.

Hii umefunzwa na Mama au ulimwengu??👀
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom