jo5
JF-Expert Member
- Dec 15, 2022
- 880
- 1,338
🤣🤣🤣🤣🤣Nimekumbuka Baba levo nae alikua angekua na uwezo wa kuzaa angemzalia diomond mtoto Hii dunia tunaona mengi.
🤣🤣🤣🤣🤣Nimekumbuka Baba levo nae alikua angekua na uwezo wa kuzaa angemzalia diomond mtoto Hii dunia tunaona mengi.
Hela huna, unatoa masharti km vile wewe ni King Mswati.....
Acha kushinda JF kuandika ujinga ...tafuta hela Son.
Visnow ndo vitu gani tena ?Sema hivi visnow vinazingua kinyama
Kitufe cha ku log out hukijui?Jf imekuwa ya ajabu sana zamani ilikuwa ukiingia humu ni kama umeingia kwenye semina. Kulikuwa na mada nzuri sana na za kuvutia.
Umesema una hela? Kwa nini usitafute surrogate, or else opt for test tube babies.?No ties ataruhusiwa nlipompangia kuleta wanaume mm tutakutana siku za uzazi tu sio starehe hizo apeleke kwa romantic boyfriend .kutoka sio kwenda kulala na mm akimaliza msosi na savana 7 anaondaka ananiacha na demu wangu
Quora ni upumbavu jiunge huku reddit.com: Sprich mit Menschen aus aller Welt utaacha kushinda hapo nyumbani na kufanya mambo makubwa.Kitufe cha ku log out hukijui?
JF ikikukera log out.
Nenda Quora.
Kwanini usimzalishe huyo 'demu' wako?anaondaka ananiacha na demu wangu
Anachozungumza mleta mada yupo sahih, huwezi pata upendo, sex na ndoa bora kwa mwanamke mmoja lazima umpe kila mmoja jukum analoliweza.
Anaeweza kukupenda mpende pia
Anaeweza kukupa sex makini mpe nafasi
Na anaeweza kukuzalia watoto mpe mimba.
Kisha wote waruhusu waendelee na maisha yao nje ya hayo majukum yako msigandane.
Mambo ya kutaka Upendo, Sex, Watoto na ndoa kwa mwanamke mmoja ni unyanyasaji wa kijinsia na kujilimbikizia ajira.
Hii umefunzwa na Mama au ulimwengu?