The only
JF-Expert Member
- May 19, 2011
- 10,433
- 13,417
Nimeona nahitaji kupata uzao pia wa aina tofauti .
Vigezo
Awe na elimu ya form 6 na asiwe amewahi pata four secondary
Umri kuanzia 20 hadi 34
Asiwe na zaidi ya mtoto 1 .fursa kwa single mothers watapewa first priority
Awe mrefu asiye muathilika .
Asiwe muhaya .muha.mgogo .mbulu.au mtu wa pwani sijui lindi mtwara na mzqnzibar ndo hata asikoment
Wasukuma.wachaga.wajita wakerewe wakurya wakinga .wabena .watapewa kipaumbele
Asiwe mzuri kupitiliza awe kawaida lengo ni uzazi sio kupendana .weusi watapewa nafasi zaidi.
Walemavu watapewa upendeleo.
Masharti akipita hatua hiyo
1.kupimwa afya na dr wangu
2.tutakutana kwa lengo la uzazi akiwa siku zake tuu pia kama ana mpenzi wake anaruhusiwa kuendelea nae
3.tutatoka sana out ili tujenge bond ya kuwa washkaji nia ni kujiandaa kuwa wazazi bora kwa wanetu.
4.nitamtambulisha kwetu kama mpenxi wangu ila sitatambulishwa kwao hadi azae
5.zoez litaanza mwez wa kwanza baada ya kupata ujauzito kwa mujibu wa daktari wangu bili za kuishi zinakuwa zangu ntamlipia kodi chakula vipodozi yeye kama yeye tutaelewana tu
Mengine siweki hapa ila ntamuhakikishiq kuwa na kipato chake kizuri .
Asanteni.
Vigezo
Awe na elimu ya form 6 na asiwe amewahi pata four secondary
Umri kuanzia 20 hadi 34
Asiwe na zaidi ya mtoto 1 .fursa kwa single mothers watapewa first priority
Awe mrefu asiye muathilika .
Asiwe muhaya .muha.mgogo .mbulu.au mtu wa pwani sijui lindi mtwara na mzqnzibar ndo hata asikoment
Wasukuma.wachaga.wajita wakerewe wakurya wakinga .wabena .watapewa kipaumbele
Asiwe mzuri kupitiliza awe kawaida lengo ni uzazi sio kupendana .weusi watapewa nafasi zaidi.
Walemavu watapewa upendeleo.
Masharti akipita hatua hiyo
1.kupimwa afya na dr wangu
2.tutakutana kwa lengo la uzazi akiwa siku zake tuu pia kama ana mpenzi wake anaruhusiwa kuendelea nae
3.tutatoka sana out ili tujenge bond ya kuwa washkaji nia ni kujiandaa kuwa wazazi bora kwa wanetu.
4.nitamtambulisha kwetu kama mpenxi wangu ila sitatambulishwa kwao hadi azae
5.zoez litaanza mwez wa kwanza baada ya kupata ujauzito kwa mujibu wa daktari wangu bili za kuishi zinakuwa zangu ntamlipia kodi chakula vipodozi yeye kama yeye tutaelewana tu
Mengine siweki hapa ila ntamuhakikishiq kuwa na kipato chake kizuri .
Asanteni.