Habari wanajamii,
Mimi ni mwanaume mwenye umri wa early 30’s, Mkristo, ambaye kwa sasa sina mtoto na sijawahi kuwa kwenye ndoa. Nafanya kazi kama muajiriwa katika sekta binafsi.
Kwa ufupi kuhusu mimi:
Urefu: sentimita 185
Muonekano: Mwembamba, mweusi
Mtindo wa maisha: Baada ya majukumu ya siku nzima, napenda muda mwingi wa utulivu nyumbani.
Ninatafuta mwanamke mwenye nia ya dhati ya kujenga familia na kufunga ndoa mwenye sifa zifuatazo:
Umri: miaka 22 hadi 30
Dini: Mkristo
Asiwe na mtoto
Elimu: angalau Form Six na kuendelea
Makazi: awe mkazi wa Moshi, Kilimanjaro au kama siyo Mkazi basi awe tayari kuja kuishi Moshi.
Mwonekano: asiwe mnene sana wala mwembamba sana
Kabila: lolote linakaribishwa
Kwa mawasiliano zaidi, tafadhali nitumie PM hapa au email:
lacredlacredsr@gmail.com
Asanteni sana wanajamii kwa muda wenu.
Mimi ni mwanaume mwenye umri wa early 30’s, Mkristo, ambaye kwa sasa sina mtoto na sijawahi kuwa kwenye ndoa. Nafanya kazi kama muajiriwa katika sekta binafsi.
Kwa ufupi kuhusu mimi:
Urefu: sentimita 185
Muonekano: Mwembamba, mweusi
Mtindo wa maisha: Baada ya majukumu ya siku nzima, napenda muda mwingi wa utulivu nyumbani.
Ninatafuta mwanamke mwenye nia ya dhati ya kujenga familia na kufunga ndoa mwenye sifa zifuatazo:
Umri: miaka 22 hadi 30
Dini: Mkristo
Asiwe na mtoto
Elimu: angalau Form Six na kuendelea
Makazi: awe mkazi wa Moshi, Kilimanjaro au kama siyo Mkazi basi awe tayari kuja kuishi Moshi.
Mwonekano: asiwe mnene sana wala mwembamba sana
Kabila: lolote linakaribishwa
Kwa mawasiliano zaidi, tafadhali nitumie PM hapa au email:
lacredlacredsr@gmail.com
Asanteni sana wanajamii kwa muda wenu.