Natafuta Kazi Usalama Wa taifa

Natafuta Kazi Usalama Wa taifa

Status
Not open for further replies.
UKWELI MCHUNGU: Mlango mpana wa kuingia TISS upo UVCCM
 
Unabisha sio kazi hatari kwa sababu unao wajua au kuwa sikia ni ma informers ! wale wengine hutawajua na kazi zao hutazijua labda ujue matokeo yake!

Kazi ngumu na hatari kiasi kwamba serikali ikikutuma kazi taifa jirani siku ukikamatwa ina kukana!

Rejea speech ya kweli ya Dictator Amin akiwa na mawaziri wake,sikia anacho kisema kuhusu spy!
Heading yake inasemaje or kama una link weka
 
Wanajamvi salama ndugu zangu, mimi nina shida moja naomba kujua utaratibu wa kujiunga na usalama wa taifa kwa yeyote anaejua kuna mtu anapenda sana kuwa usalama lakini hajui ni jinsi gani ya kujiunga ila tayari ni mtumishi wa serikali ni mwalimu na ana miaka 35.
Kwa yeyote anayejua tafadhali msaada tutani, asanteni.
unaogopa màdongo ya wanaJF kusema wewe ndio msaka ugali!!!🤭🤭🤭
kua huru mzee ukweli utakuweka huru.
huna tofauti na wale wanaosema "Nina ndugu yangu anaupungufu wa nguvu za kiume msaidieni tafadhali"
Kumbe yeye ndio hausimiki hausimami.
 
Habari wana JF Nilikuwepo Napenda mnijuze kwa mwenye uelewa wa Procedures za kufuata ili Kujiunga na "USALAMA WA TAIFA" Nataka nijiunge Nipige kazi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habari wana JF Nilikuwepo Napenda mnijuze kwa mwenye uelewa wa Procedures za kufuata ili Kujiunga na "USALAMA WA TAIFA" Nataka nijiunge Nipige kazi.

Sent using Jamii Forums mobile app
Sekondari ulizosoma na vyuoni Mara nyingi huwepo maafisa wa ku recruit wa Siri Kama kote huko hukuonekana wewe endelea tu na maisha yako mengine
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom