Natafuta Kazi Usalama Wa taifa

Natafuta Kazi Usalama Wa taifa

Status
Not open for further replies.
Swali zuri
vijana wanapenda kazi za hatari, kazi ambazo ukiingia huwezi kutoka mpaka uingie kaburini, kazi ambayo muda mwingine inaweza ikakufanya utengane na familia yako...ila vijana ndio wanaona ufahari...dah
 
Sawa bhana hayo niwazo yako lakini mimi mwenyewe najijua ni nani na ninafanya haya kwa sababu gani.
Movie na uhalisia ni vitu tofauti waweza kungalia movie ya ki komandoo ukatamani kuwa komandoo Wakati wewe Ni mtoto wa mama hata kuosha vyombo ukila tu nyumbani huwezi kuosha vyombo vyako anaosha house girl!!! Huo ukomandoo utauweza wapi? Hata kudeki nyumbani tu hu deki .

Sent using Jamii Forums mobile app
 
hakuna kazi ambayo si ya hatari broh na sitaki kuwa nitakavyokuwa nikijaliwa kwa ajiri ya ufahari nafanya kwa sababu ya kitu nikipendacho toka moyoni na nafsi imeridhia nihayo.
vijana wanapenda kazi za hatari, kazi ambazo ukiingia huwezi kutoka mpaka uingie kaburini, kazi ambayo muda mwingine inaweza ikakufanya utengane na familia yako...ila vijana ndio wanaona ufahari...dah

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Toka nikiw mdogo nilikuwa navutiwa sana na movies za kipererezi mfano CENTRAL INTELLIGENCE AGENCY (CIA) Ko napenda jinsi wanavyofanya kazi zao kwa usiri sana mpaka nishajijengea mazoea yakutotoa hovyo hovyo nambo yanonisumbua mpaka waje wagundue wao ndo ntawaambia sikutaka kusumbua mtu kwa vitu vinonihusu mwenyewe kwanza ni matumizi mabaya ya ubongo wako kutokuchanganua matatizo yako nihivyo tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ujifunze na kuandika vizuri basi boss,sidhani kama TISS watataka mtu wa kuanza kumfundisha namna ya kuandika mwandiko kwa ufasaha.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Msipende kuomba omba kazi tu mkuu - Unadhani ni kazi rahisi tu ? Okay nenda Ofisi za Afisa Usalama wa wilayani kwako utajuzwa zaidi - lakini mengine yatakayoendelea uwe tayari kuyakabili


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sii kuomba omba kazi Bro ndio maana nikataka kujuzwa Procedures zakufuata lakini kinacho shangaza watu baada ya kunielewesha wanaanza kuponda na kukatisha Tamaa tena Kitu ambacho kilikuwa tofauti na matarajio yangu. Afu pia hata wewe mwenyewe najua hufahamu,haya yote kuhusu nichouliza kama unachokijua kimeishia hapo basi,na sio unaanza kutia maneno yasiyo na msingi.
Msipende kuomba omba kazi tu mkuu - Unadhani ni kazi rahisi tu ? Okay nenda Ofisi za Afisa Usalama wa wilayani kwako utajuzwa zaidi - lakini mengine yatakayoendelea uwe tayari kuyakabili


Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom