Natafuta Kazi Usalama Wa taifa

Natafuta Kazi Usalama Wa taifa

Status
Not open for further replies.
Ok! lakini umeongea kwa kuparua parua sana, inaonekana ulikuw na points nzuri tuh, though big up mkuu, umechokoza watakuja tuh....
 
Nzuri ila ihariri vizuri tena Azaboy mwenzangu. Nimefurahi kujua na wewe ulisoma Shamba la ONE Taifa Kubwa!!!
 
Ulichoongea ni kweli unakutana na vijana waluoajiriwa Kwa kujuana matokeo yake wanachomoa Bastoka kwenye kadamnasi bila kujali taaluma ya kazi yake.

Matokeo yake watawala wakiwa corrupt usitegemee idara hii iwe safi kwa 100%

Kuna mahali lazima tujikague tumekosea ni wapi tujitafiti na kujisahihisha.

Hakuna sababu ya kijana au kujeruhiana kama tukiwa na strong system yenye UTU,Busara,Hekima na Uzalendo kwa Taifa lao
 
Yote ndivyo inavyofanyika, watu wa usalama ni wasomi wazuri, ila walikuwa hawana motisha katika utendaji wao wa kazi wa kila siku, na haipaswi wote wawe level moja kulingana na majukumu na sehemu wanapopelekwa kufanya kazi!!! Kwa masuala ya undugu sina hakika nalo
 
Habar zenu wadau?

Nimekuwa kwa kipindi cha miaka miwili sasa nikitafakar,kazi nzito,za kutisha zinazofanywa Na serikali hii ya awamu ya tano,ambazo rais wake yeye anaiita Vita ya kiuchumi jinsi ilivyoweza kufkia hapo!Na ugumu wake!

Nadhani hapo,juu ntakuwa sjaeleweka,ili nikili mapema kuwa ninayokwenda kuyaandika Hapa ni maoni yangu binafsi Na sio maoni ya MTU mwingine pia nikili kuzitambua Sheria zinazo elekeza Na kukataza kulisema jeshi letu tukufu ka Usalama wa taifa!

Zaid niseme skupenda ujumbe Wangu upitie kweny colum hii ya siasa ila ni kwa ssbabu sjaona colum nyingine ambayo naweza pitisha maoni yangu! Kwa mantiki hiyo naomba usipuuzwe kisa umepitia hapa, Na idara hii sio idara ya siasa Na sjui kama wana idara ya politics analysis?

Kwanza naomba watanzania wenzangu, tukubaliane kuwa nchi yetu imeweza kuibiwa mno rasrimali zetu,kupitia mikononi mwa wanasiasa wetu ambao wengine pia walikuwa wana idara hii nyeti!

Pili naomba tukubali kuwa idara yetu APO Kati haikuweza kutimiza matakwa yake,kimsing kwa ssbabu ya mfumo mbovu wa upatikanaji wa watumishi wa idara hii nyeti.(ntaeleza).

Kama ifatavyo,mfumo wa ajila za Usalama wa taifa nchi umekuwa ni mfumo ambao ni wa ovyo sana,kwanza ajra zake hazitangazwi,pili umekuwa ni mfumo wa Baba kumwachia maana kwa maana ya kuwa kama Baba au mama walikuwa Usalama wa taifa bas mtt yy atapata fursa ya kuwa Usalama kwa ssbabu ya Baba Na mama walikuwa Usalama,msingi wa mfumo huu ulitokana Na kuwa heti kwa kuwa Baba ni Usalama Na mtumishi mwema pengine hata mwanae atakuwa mwema,matokeo yake kumbe Baba mbuzi amezaa mtt mbwa,mwiz,nae kaingizwa kweny system sasa analipiga taifa balaa!

Tatu,watu ambao wamekuw wakichukuliwa elimu,zao Na utashi wao huwa bado ni Mdgo sana kwa kung'amua mambo!

Ili lazma tulielewe,nakumbuka miaka mingi iliyopota nikiwa secondary Azania alikuja bwana mmoja akachukua taharifa za wanafunzi mwenzangu wote,kwa lengo la kuwafnyia veting wakiwa masomoni Na badae kuwapa ajira kweny idara hii,ili lilifanyika Na wengi wa classmate Wangu sasa ni watumishi wakubwa wa idara hile,ila kwa jinsi tulivokuwa wadogo maana yake ni kuwa walikulia kweny sisytem,nilishangaa sanaaa hata Yule ambae Mimi nilikuwa najua kuwa huyu ni c critical mzuri baada ya kukutana nae chuo kikuu amekuwa MTU ambaye hawez kufanya hata polics analysis ndgo sanaaa,ili hali kipindi kile alikuwa MTU Safi kbsa!(nilipombana akaniambia maadili ha kazi yake hayamruhusu kufanya politics analysis ambayo agenda kubwa ili ni how our politician are the source of corruption in our society during the election era?

Kwa kufupi ni kuwa,idara yetu nyeti ilikuwa ikiwabumba wanaidara wawe waoga sana!

Nini kifanyike kulinda maslai mapana ya nchi yetu?

Kwanza; mfumo wa ajira ubadirike,ile ni kazi sawa Na kijajususi,kuzifanya zaitaji wito,zitangazwe!

Pili;usamala wa taifa wachukue mpka vijana wa kutoka chuo kikuu,sio wanachukua viwango vidgo vya elimu,wachukue pia vijana wenye misimamo Na elimu zao ili litasaidia kuwa Na idara nyeti sanaaa Na makini hata kusaini mkataba wwte wa rasrimali za nchi waweze elewa maana yawezekana mikataba tuliyosaini walikuwepo ila hawakuelewa wakapigws changa la macho Na wasiasa!

Tatu; sheria zinazo kataza Usalama wa taifa kuto kusemwa zinakosesha watu Uhuru wa kushauri pengine ibadlishwe!

Nne; usalama wote wafundishwe maana ya public interest! Najua Hapa changa moto pia iko kwenye katiba ila basi,wao wawezeshwe kidgo kujua ni nini maana ya what is Tanzania public interest?
Ni kweli hujaona column nyingine?!!
 
Mkuu kila kitu kipo sahihi hata ambaye sina elimu kubwa nimekuelewa.

Kwa nchi ambayo ilipitia kutaka kupinduliwa zaidi ya mara moja siyo jambo la kushtusha mfumo wa kuwapata secret service ukawa wa kurithishana kati ya ndugu au vetting ufanyiwe na rafiki.
Uduni wa teknolojia na maarifa unazidi kufanya tushindwe kufuatilia na kujua nani msafi aingie humu au asiingie.

Over time hata sisi hizi ajira zitatangazwa kama usa na nchi zingine zinavyofanya.

Ila sehemu zinazotakiwa kua na 'H', 'R' na ukachanganya mambo ungezifanyia marekebisho.
 
Idara yetu ya usalama wa Taifa ipandishwe hadhi na liwe shirika la Ujasusi la Taifa..
Usalama wa Taifa inapaswa wasaidie kupunguza technological gap....wajifunze kwa wachina....waende huko duniani waibe technlogia za watu watuletee jamani....Wachina wamefanikiwa sana kwenye hili.....
 
chuoni wanachukua sana tu, six pia wanachukua sema kwa kujuana sana.
 
Yote ndivyo inavyofanyika, watu wa usalama ni wasomi wazuri, ila walikuwa hawana motisha katika utendaji wao wa kazi wa kila siku, na haipaswi wote wawe level moja kulingana na majukumu na sehemu wanapopelekwa kufanya kazi!!! Kwa masuala ya undugu sina hakika nalo
Motisha gani unasemea?hakuna jeshi ka watu wanao ishi nyumba nzuri kama wao je walijua ili? Pita vikitoria pale!

Malupu lupu,hakuna idara yenye malupu lupa kama wao,rejea utendaji wao!

Kama wasomi wapo ilikuaje tunasaini mikataba ya ovyo kbsa dhdidi ya rasirimali zetu?hawakushirikishwa?

Tusiwatetee tuwaseme,Na kuwakosoa ili wajirekebishe,
Huwez kana undulization,Usalama wa taifa wa nchi, offcorse sio wao tu hata majeshi mengine ila wao wanaongoza.

Ila kurisishwa kazi sio kibaya ila wewe Usalama wa taifa enzi za nyerere wengi wao walionekana vichaa Leo hii Nani atakubar!unakwenda feri dar Salama hakuna Usalama wa taifa hata mmoja anae vua samaki? Unapanda daradara kumi,hakuna kondakita hata mmoja pale makumbusho dar stend Usalama?

Unakwenda shule za msingi kumi hakuna Usalama wa taifa hata mmoja Mwalimu?

Usalama wa taifa wa wilaya vilaza watupu,unampelekea taharifa nakumbuka rafiki yangu alipeleka taharifa wilayani kwa afsa usalma mmoja kumweleza kuwa mtaani kuna nyumba zaid ya 50 zinatumia luku moja Na luku yenyewe imechakachuliwa akaishia kuambiwa hizo sio kazi zake,wacha waibe tu!ila badae Yule kijana akashangaa kuniona Yule Mzee wa system kila mwezi unakuja kuichukua pesa kutoka nyumba zote 50kila nyumba 16700!enz hizo nyingine Bob!

Mfumo ni mbovu uboreshwe,Usalama wa taifa ni ujasusi lazma iwe kaz ya wito!

Sent from my TECNO-N2 using JamiiForums mobile app
 
Mkuu kila kitu kipo sahihi hata ambaye sina elimu kubwa nimekuelewa.

Kwa nchi ambayo ilipitia kutaka kupinduliwa zaidi ya mara moja siyo jambo la kushtusha mfumo wa kuwapata secret service ukawa wa kurithishana kati ya ndugu au vetting ufanyiwe na rafiki.
Uduni wa teknolojia na maarifa unazidi kufanya tushindwe kufuatilia na kujua nani msafi aingie humu au asiingie.

Over time hata sisi hizi ajira zitatangazwa kama usa na nchi zingine zinavyofanya.

Ila sehemu zinazotakiwa kua na 'H', 'R' na ukachanganya mambo ungezifanyia marekebisho.
Nimekusoma Mkuu asante kwa ushauri wakobl Mkuu!
Yote ndivyo inavyofanyika, watu wa usalama ni wasomi wazuri, ila walikuwa hawana motisha katika utendaji wao wa kazi wa kila siku, na haipaswi wote wawe level moja kulingana na majukumu na sehemu wanapopelekwa kufanya kazi!!! Kwa masuala ya undugu sina hakika nalo


Sent from my TECNO-N2 using JamiiForums mobile app
 
Watumishi wa usalama huwa wanaandaliwa na kuchunguzwa kwa muda mrefu sana, wanapekuliwa muda mrefu tokea hata akiwa sec. hadi ngazi ya chuo, wanakuchukunguza hadi ukoo wako, nijuavyo mimi sio kwamba wanaomba ila baada ya kuchunguzwa kwa kina na kujiridhisha ndio hapo unaitwa kwenda kwenye chuo chao. kwahiyo huyo mwenye nia mwambie tu asahau. sio mchakato wa muda mfupi
[emoji1] [emoji1] [emoji1]
 
Habarini za wakati huu wanajamvi.
Kuna suala hapa la rafiki yangu ambaye yeye ni muajiriwa wa serikalini, lakini kuna suala ambalo linanishangaza sana kila ninapozungumza naye, wakati mwingi yeye anakua anadai kwamba pamoja na hayo yote aliyonayo ila moyo wake unapenda sana kulitumikia taifa katika idara ya usalama. na kwamba ndio kazi ya kwanza anayoipenda sana kuliko zote maishani mwake, na anaipenda kiasi cha kutaka kuwafuata hadi ofisi zao zilipo kwaajili ya kuweza kuzungumza nao kinaga ubaga. na yeye ni muhandisi katika serikalini.

nimeshindwa kumshauri kwakua sielewi kwa kuanzia, na ndio maana nikalileta hili suala mbele yenu.
 
H
Motisha gani unasemea?hakuna jeshi ka watu wanao ishi nyumba nzuri kama wao je walijua ili? Pita vikitoria pale!

Malupu lupu,hakuna idara yenye malupu lupa kama wao,rejea utendaji wao!

Kama wasomi wapo ilikuaje tunasaini mikataba ya ovyo kbsa dhdidi ya rasirimali zetu?hawakushirikishwa?

Tusiwatetee tuwaseme,Na kuwakosoa ili wajirekebishe,
Huwez kana undulization,Usalama wa taifa wa nchi, offcorse sio wao tu hata majeshi mengine ila wao wanaongoza.

Ila kurisishwa kazi sio kibaya ila wewe Usalama wa taifa enzi za nyerere wengi wao walionekana vichaa Leo hii Nani atakubar!unakwenda feri dar Salama hakuna Usalama wa taifa hata mmoja anae vua samaki? Unapanda daradara kumi,hakuna kondakita hata mmoja pale makumbusho dar stend Usalama?

Unakwenda shule za msingi kumi hakuna Usalama wa taifa hata mmoja Mwalimu?

Usalama wa taifa wa wilaya vilaza watupu,unampelekea taharifa nakumbuka rafiki yangu alipeleka taharifa wilayani kwa afsa usalma mmoja kumweleza kuwa mtaani kuna nyumba zaid ya 50 zinatumia luku moja Na luku yenyewe imechakachuliwa akaishia kuambiwa hizo sio kazi zake,wacha waibe tu!ila badae Yule kijana akashangaa kuniona Yule Mzee wa system kila mwezi unakuja kuichukua pesa kutoka nyumba zote 50kila nyumba 16700!enz hizo nyingine Bob!

Mfumo ni mbovu uboreshwe,Usalama wa taifa ni ujasusi lazma iwe kaz ya wito!

Sent from my TECNO-N2 using JamiiForums mobile app
Hiyo ya LUKU moja kutumiwa na watu 50 si angeriport Tanesco au Polis tu
 
Habarini za wakati huu wanajamvi.
Kuna suala hapa la rafiki yangu ambaye yeye ni muajiriwa wa serikalini, lakini kuna suala ambalo linanishangaza sana kila ninapozungumza naye, wakati mwingi yeye anakua anadai kwamba pamoja na hayo yote aliyonayo ila moyo wake unapenda sana kulitumikia taifa katika idara ya usalama. na kwamba ndio kazi ya kwanza anayoipenda sana kuliko zote maishani mwake, na anaipenda kiasi cha kutaka kuwafuata hadi ofisi zao zilipo kwaajili ya kuweza kuzungumza nao kinaga ubaga. na yeye ni muhandisi katika serikalini.

nimeshindwa kumshauri kwakua sielewi kwa kuanzia, na ndio maana nikalileta hili suala mbele yenu.
Atakuja ajute, yani aende tu kwenye ofisi zao
 
Nakushauri!
Usalama wa Taifa,kwa nijuavyo mimi hawatangazi nafasi za kazi,hata mimi nilitamani kuwa mmoja wao...ila nikagundua kuwa sio rahisi kuingia kule.
Cha muhimu ni kuwa kazi wanayo ifanya ni uzalendo wa kuilinda nchi yao,hata wewe unaweza ilinda nchi yako katika nafasi yeyote uliyopo.
Kama mkulima,linda nchi yako katika nafasi hiyo,kama ni mwasibu linda nchi yako kwenye nafasi yako,mwisho wa siku wao na wewe wote ni wamoja! MNAILINDA NCHI YENU.
Pia unaeza ukawa hapo kwenye hiyo nafasi yako na wakakuona wakakuchukua.
Nawasilisha!!!!
 
Hiv utaratibu wa kuomba Kaz usalama wa taifa upoje mbona sjawah kuona tangazo au habari kuhusu kias gan wameajiriwa jaman msinidharau nielimishen tuu
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom