Mungu Mweusi
JF-Expert Member
- Oct 20, 2014
- 1,474
- 1,077
Kwenye hizo ofisi nani anafaa kuulizwa hasa anipe deteils nzuri??yani maafisa waandamizi au yeyote tu nutakae mkuta pale au niende kama kuomba nionane na nani kwenye idara ili nipate habari vzr jaman samahanini kwa kuwasumbua sana naomba mnisaidie nashida kweli ya kufanikisha hii ili tufanikishe haki ya msingi ya mdogo wangu ambayo hata katiba inamruhusu kufanya hii kazi anayoipenda asanten naomba nilekezwee
Halafu unajua we Tumbu inatuchezea akiri zetu; kwani we ukisema ndiyo mtu wa usalama wa taifa itakuwaje mpaka unajaribu kupoteza maboya; maana naona maswali yako yana majibu mojakwamoja na hakuna mtu anayemtafutia mtu kazi hii ni personal. Sasa nikuulize Tumbu wakati wa kujiunga na TIS ulifanyaje? Na wewe upo section gani? na je mtu anaweza kujiunga na TIS bila kupitia jeshi? Samahani huwa nina tabia ya kukurupuka!!