Mkomavu
JF-Expert Member
- Jan 25, 2016
- 12,199
- 17,640
Sekondari ulizosoma na vyuoni Mara nyingi huwepo maafisa wa ku recruit wa Siri Kama kote huko hukuonekana wewe endelea tu na maisha yako mengine
Nenda pale Eagle House upeleke barua ya maombi
Ndio vinachangia piahiyo nilikuwepo naisikia ila unamaanisha kama nilikuwepo na tabia za ajabu ajabu kama kugoma adhabu au kuchochea vitu vitoleta athari kwa shule???
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndio vinachangia pia
Hahaha huwa sina hizo kwanza mpaka kuuliza ninakama miezi 3 najiuliza naghairi kuweka hii threatIngia uvccm then Green Guard.. Ila hakikisha unaondoa ule ubongo wa kuhoji

Uwezo wa akili Kama ni mdogo hawakutaki kule Ni intelligence office wanahitaji certified intelligent people sio mazobe zobe yaliyopigika kimaisha yanayotafuta pa kutokea kimaishaAah basi sawa Pia nasikia wanafuatilia mpaka Family background pia kuna vitu gani wakifuatilia unaweza usipate nafasi kujiunga???
Sent using Jamii Forums mobile app
kwanini...unaitaka kazi hiyo na si kazi nyingene...?
Uwezo wa akili Kama ni mdogo hawakutaki kule Ni intelligence office wanahitaji certified intelligent people sio mazobe zobe
fanya kazi...kwa juhudi...endelea kuongeza elimu...epuka makundi ya ajabu ajabu....kwa kuanzia tafuta nafasi za JKT...njia yako itaanzia hapoToka nikiw mdogo nilikuwa navutiwa sana na movies za kipererezi mfano CENTRAL INTELLIGENCE AGENCY (CIA) Ko napenda jinsi wanavyofanya kazi zao kwa usiri sana mpaka nishajijengea mazoea yakutotoa hovyo hovyo nambo yanonisumbua mpaka waje wagundue wao ndo ntawaambia sikutaka kusumbua mtu kwa vitu vinonihusu mwenyewe kwanza ni matumizi mabaya ya ubongo wako kutokuchanganua matatizo yako nihivyo tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sawa Kaka Ntajitahidi kwa hilo Na target yangu nataka zitakapo toka nafasi za JKT mwaka huu 2020 chap pasi nakuchelewa nitume maombi nisubiri miujiza Pia sitosita kumtanguliza MUNGU kwa jambo kama hili Nashukuru kwa Mchango wako umenipa Mwanga Ahsante sanafanya kazi...kwa juhudi...endelea kuongeza elimu...epuka makundi ya ajabu ajabu....kwa kuanzia tafuta nafasi za JKT...njia yako itaanzia hapo


.Jiunge kwanza UVCCMHabari wana JF Nilikuwepo Napenda mnijuze kwa mwenye uelewa wa Procedures za kufuata ili Kujiunga na "USALAMA WA TAIFA" Nataka nijiunge Nipige kazi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Jiunge kwanza UVCCM
Swali zurikwanini...unaitaka kazi hiyo na si kazi nyingene...?
Movie na uhalisia ni vitu tofauti waweza kungalia movie ya ki komandoo ukatamani kuwa komandoo Wakati wewe Ni mtoto wa mama hata kuosha vyombo ukila tu nyumbani huwezi kuosha vyombo vyako anaosha house girl!!! Huo ukomandoo utauweza wapi? Hata kudeki nyumbani tu hu deki .Toka nikiw mdogo nilikuwa navutiwa sana na movies za kipererezi mfano CENTRAL INTELLIGENCE AGENCY (CIA) Ko napenda jinsi wanavyofanya kazi zao kwa usiri sana mpaka nishajijengea mazoea yakutotoa hovyo hovyo nambo yanonisumbua mpaka waje wagundue wao ndo ntawaambia sikutaka kusumbua mtu kwa vitu vinonihusu mwenyewe kwanza ni matumizi mabaya ya ubongo wako kutokuchanganua matatizo yako nihivyo tu.
Sent using Jamii Forums mobile app