mng'ato
JF-Expert Member
- Oct 27, 2014
- 29,195
- 49,117
Maisha ni mapambano, kama maneno laini laini tu ya watu wa humu JF tena hata usiowajua yanakukatisha tamaa basi jua hio kazi huiwezi sababu you aren't self motivated.Sii kuomba omba kazi Bro ndio maana nikataka kujuzwa Procedures zakufuata lakini kinacho shangaza watu baada ya kunielewesha wanaanza kuponda na kukatisha Tamaa tena Kitu ambacho kilikuwa tofauti na matarajio yangu. Afu pia hata wewe mwenyewe najua hufahamu,haya yote kuhusu nichouliza kama unachokijua kimeishia hapo basi,na sio unaanza kutia maneno yasiyo na msingi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app


