Natafuta Kazi Usalama Wa taifa

Natafuta Kazi Usalama Wa taifa

Status
Not open for further replies.
Nacho kijua mimi sifa namba moja ya mtu asie staili kua usalama wa Taifa ni anae omba kua usalama wa Taifa.

Kuna mtu anajuta hii kitu!
"Bora ukapigane vita ila sio hii kazi"
 
Nacho kijua mimi sifa namba moja ya mtu asie staili kua usalama wa Taifa ni anae omba kua usalama wa Taifa.

Kuna mtu anajuta hii kitu!
"Bora ukapigane vita ila sio hii kazi"
Mkuu hebu acha ku-overate mambo,kikubwa cha kutisha nini kwenye hio kazi hadi useme hivyo!?
 
Wanajamvi salama ndugu zangu, mimi nina shida moja naomba kujua utaratibu wa kujiunga na usalama wa taifa kwa yeyote anaejua kuna mtu anapenda sana kuwa usalama lakini hajui ni jinsi gani ya kujiunga ila tayari ni mtumishi wa serikali ni mwalimu na ana miaka 35.

Kwa yeyote anayejua tafadhali msaada tutani, asanteni.
Anza kua mwanausalama wa familia yako
 
Wanajamvi salama ndugu zangu, mimi nina shida moja naomba kujua utaratibu wa kujiunga na usalama wa taifa kwa yeyote anaejua kuna mtu anapenda sana kuwa usalama lakini hajui ni jinsi gani ya kujiunga ila tayari ni mtumishi wa serikali ni mwalimu na ana miaka 35.

Kwa yeyote anayejua tafadhali msaada tutani, asanteni.
Ninachojua ukiwa mwanausalama kwenye jamii yako unakua usalama wa taifa mfano wote wanaomiliki security companies ni watu wa usalama wa taifa
 
Wanajamvi salama ndugu zangu, mimi nina shida moja naomba kujua utaratibu wa kujiunga na usalama wa taifa kwa yeyote anaejua kuna mtu anapenda sana kuwa usalama lakini hajui ni jinsi gani ya kujiunga ila tayari ni mtumishi wa serikali ni mwalimu na ana miaka 35.

Kwa yeyote anayejua tafadhali msaada tutani, asanteni.
Awali ya yote napenda kukupongeza kwakutoa wazo lako.pili usikatishwe azma yako kwani watu wengi kwakua hawajui ukweli wamekuwa wepesi wakujibu.ningependa kusema kuwa kama hujui kitu nyamaza kwani kukaa kimya nalo nijibu.tatu ukiwa raia watanzania ambae huna taarifa mbaya iwe kwajamii au mahakamani basi unasifa tosha za kuomba kazi unayoitaka.sewa kwahapa tanzania itachukua mda mrefu kidogo kufanikisha hiyo kazi ila kama una haraka ingia kwenye tovoti za usa au rusia kwani hawa mabwana kila kukicha wanaajili ila kwanchi kama Australia waweza pewa na uraia kabisa chamsingi majibu yote yahaya ingia kwenye mtandao yote utayaona hata fomu ya tiss kwahapa tanzania utaipata
 
Wanajamvi salama ndugu zangu, mimi nina shida moja naomba kujua utaratibu wa kujiunga na usalama wa taifa kwa yeyote anaejua kuna mtu anapenda sana kuwa usalama lakini hajui ni jinsi gani ya kujiunga ila tayari ni mtumishi wa serikali ni mwalimu na ana miaka 35.

Kwa yeyote anayejua tafadhali msaada tutani, asanteni.
Kila raia wa tz n mlinzi wa usalama wa nchi mahali ulipo lisidie taifa kwa kuripot uhalifu,uhamiaj haramu,ufisad nk na mambo unayohisi sio salama. Anza wewe huko huko
 
mgogoone kuwa kachero sio kazi ya kitoto ndugu yangu kama hawa wanafunzi wanavyojidanganya. Shushushu ni mtu aliyeweka maisha yake rehani na anaweza kufa wakati wowote ule. mbogojnr Unataka kazi usalama wa taifa wakati wakitokea panya road unakuwa wa kwanza kuingiza kwenye uvungu wa kitanda.....

Beautiful Nkosazana
Kawaida ya binaadam wote NI kupenda kile tusionacho.Mfano una mke Mrembo Lakini ukiona mwanamke mwingine tamaa inakuijia.
Haya mambo ya usalama wa taifa yamezungumziwa sanaaaaa tu hapa JF
Wausalama wengi walikuwa hawafikirii Hii kazi ila walijulikana wakati wako shule ya msingi/secondary mpaka chuo.Hii sio kazi utakwenda kuomba Ila kazi ya kuombwa Na TISS Au mzee wako NI mkubwa "fulani"
 
Mkuu hebu acha ku-overate mambo,kikubwa cha kutisha nini kwenye hio kazi hadi useme hivyo!?
Unabisha sio kazi hatari kwa sababu unao wajua au kuwa sikia ni ma informers ! wale wengine hutawajua na kazi zao hutazijua labda ujue matokeo yake!

Kazi ngumu na hatari kiasi kwamba serikali ikikutuma kazi taifa jirani siku ukikamatwa ina kukana!

Rejea speech ya kweli ya Dictator Amin akiwa na mawaziri wake,sikia anacho kisema kuhusu spy!
 
Wanajamvi salama ndugu zangu, mimi nina shida moja naomba kujua utaratibu wa kujiunga na usalama wa taifa kwa yeyote anaejua kuna mtu anapenda sana kuwa usalama lakini hajui ni jinsi gani ya kujiunga ila tayari ni mtumishi wa serikali ni mwalimu na ana miaka 35.

Kwa yeyote anayejua tafadhali msaada tutani, asanteni.
Niprecess ndefu saaanaa unajaza form kama ukubwa wacounter book maelezo mengiii saaanaa
 
Unabisha sio kazi hatari kwa sababu unao wajua au kuwa sikia ni ma informers ! wale wengine hutawajua na kazi zao hutazijua labda ujue matokeo yake!

Kazi ngumu na hatari kiasi kwamba serikali ikikutuma kazi taifa jirani siku ukikamatwa ina kukana!

Rejea speech ya kweli ya Dictator Amin akiwa na mawaziri wake,sikia anacho kisema kuhusu spy!
Duh! Nimekuelewa mkuu
 
Zama zimebadilika sio kama zaman. Miaka ya nyuma ilikua ni kaz sana kujiunga usalama wa taifa mpaka wao wakuchunguze bila wew kujijua kwa muda mrefu then ukikidhi viwango wanakuchukua.
Yaani wanakuchunguza toka ukiwa primary hadi chuo na mwenendo wako wa maisha kiujumla.
Tiss walifanya hivyo sababu wasomi walikua wachache kipindi cha nyuma pia technologia ilikua duni sana pia watanzania wachache sana walikua hawana na uelewa na mambo ya ki intelligencia.

Kwasasa mambo yamebadilika ,kwanza technologia iko juu sana dunian pili ,national threat imeongezeka domestic na international threat kwa ujumla. Kutokana ongezeko la idadi ya watu ndan ya nchi.

Mbinu za ki spy kwa sasa hufanyika kwa njia ya kitechnologia yaani computerized way of gathering information hivyo wanahitaji sana wasomi hasa katika kitivo cha sayansi ya computer na related field.

Ajira zipo tena kwa wingi ili mradi tu uwe na uzalendo na nchi yako, usiwe na kashfa mbaya ktk jamii na pia uwe na elimu ya juu kuhusiana na mambo ya technologia.

Njia nyepesi ya kujiunga na usalama wa taifa kama tayari ushahitimu masomo ya elimu ya juu basi jiunge na jkt huko ndiko wanapochukuliwa wote wenye vigezo wanavyo vihitaji.

Kwa huyo jamaa na taluma yake ya ualimu na umri wake ni ngumu sana
 
Habar zenu wadau?

Nimekuwa kwa kipindi cha miaka miwili sasa nikitafakar,kazi nzito,za kutisha zinazofanywa Na serikali hii ya awamu ya tano,ambazo rais wake yeye anaiita Vita ya kiuchumi jinsi ilivyoweza kufkia hapo!Na ugumu wake!

Nadhani hapo,juu ntakuwa sjaeleweka,ili nikili mapema kuwa ninayokwenda kuyaandika Hapa ni maoni yangu binafsi Na sio maoni ya MTU mwingine pia nikili kuzitambua Sheria zinazo elekeza Na kukataza kulisema jeshi letu tukufu ka Usalama wa taifa!

Zaid niseme skupenda ujumbe Wangu upitie kweny colum hii ya siasa ila ni kwa ssbabu sjaona colum nyingine ambayo naweza pitisha maoni yangu! Kwa mantiki hiyo naomba usipuuzwe kisa umepitia hapa, Na idara hii sio idara ya siasa Na sjui kama wana idara ya politics analysis?

Kwanza naomba watanzania wenzangu, tukubaliane kuwa nchi yetu imeweza kuibiwa mno rasrimali zetu,kupitia mikononi mwa wanasiasa wetu ambao wengine pia walikuwa wana idara hii nyeti!

Pili naomba tukubali kuwa idara yetu APO Kati haikuweza kutimiza matakwa yake,kimsing kwa ssbabu ya mfumo mbovu wa upatikanaji wa watumishi wa idara hii nyeti.(ntaeleza).

Kama ifatavyo,mfumo wa ajila za Usalama wa taifa nchi umekuwa ni mfumo ambao ni wa ovyo sana,kwanza ajra zake hazitangazwi,pili umekuwa ni mfumo wa Baba kumwachia maana kwa maana ya kuwa kama Baba au mama walikuwa Usalama wa taifa bas mtt yy atapata fursa ya kuwa Usalama kwa ssbabu ya Baba Na mama walikuwa Usalama,msingi wa mfumo huu ulitokana Na kuwa heti kwa kuwa Baba ni Usalama Na mtumishi mwema pengine hata mwanae atakuwa mwema,matokeo yake kumbe Baba mbuzi amezaa mtt mbwa,mwiz,nae kaingizwa kweny system sasa analipiga taifa balaa!

Tatu,watu ambao wamekuw wakichukuliwa elimu,zao Na utashi wao huwa bado ni Mdgo sana kwa kung'amua mambo!

Ili lazma tulielewe,nakumbuka miaka mingi iliyopota nikiwa secondary Azania alikuja bwana mmoja akachukua taharifa za wanafunzi mwenzangu wote,kwa lengo la kuwafnyia veting wakiwa masomoni Na badae kuwapa ajira kweny idara hii,ili lilifanyika Na wengi wa classmate Wangu sasa ni watumishi wakubwa wa idara hile,ila kwa jinsi tulivokuwa wadogo maana yake ni kuwa walikulia kweny sisytem,nilishangaa sanaaa hata Yule ambae Mimi nilikuwa najua kuwa huyu ni c critical mzuri baada ya kukutana nae chuo kikuu amekuwa MTU ambaye hawez kufanya hata polics analysis ndgo sanaaa,ili hali kipindi kile alikuwa MTU Safi kbsa!(nilipombana akaniambia maadili ha kazi yake hayamruhusu kufanya politics analysis ambayo agenda kubwa ili ni how our politician are the source of corruption in our society during the election era?

Kwa kufupi ni kuwa,idara yetu nyeti ilikuwa ikiwabumba wanaidara wawe waoga sana!

Nini kifanyike kulinda maslai mapana ya nchi yetu?

Kwanza; mfumo wa ajira ubadirike,ile ni kazi sawa Na kijajususi,kuzifanya zaitaji wito,zitangazwe!

Pili;usamala wa taifa wachukue mpka vijana wa kutoka chuo kikuu,sio wanachukua viwango vidgo vya elimu,wachukue pia vijana wenye misimamo Na elimu zao ili litasaidia kuwa Na idara nyeti sanaaa Na makini hata kusaini mkataba wwte wa rasrimali za nchi waweze elewa maana yawezekana mikataba tuliyosaini walikuwepo ila hawakuelewa wakapigws changa la macho Na wasiasa!

Tatu; sheria zinazo kataza Usalama wa taifa kuto kusemwa zinakosesha watu Uhuru wa kushauri pengine ibadlishwe!

Nne; usalama wote wafundishwe maana ya public interest! Najua Hapa changa moto pia iko kwenye katiba ila basi,wao wawezeshwe kidgo kujua ni nini maana ya what is Tanzania public interest?
 
bandiko limetulia sana... Naomba kufahamishwa kutoka kwa wafahamu ya haya mambo ya usalama wa taifa, nchi kama marekani, israel, rusia, korea kaskazini , ndugu zetu wa kenya wanatumia mfumo.gani kwenye kuajiri usalama wa taifa 1.KIMYA KIMYA 2.NAFASI NAFASI ZINATANGAZWA
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom