Natafuta Kazi Usalama Wa taifa

Natafuta Kazi Usalama Wa taifa

Status
Not open for further replies.
Watumishi wa usalama huwa wanaandaliwa na kuchunguzwa kwa muda mrefu sana, wanapekuliwa muda mrefu tokea hata akiwa sec. hadi ngazi ya chuo, wanakuchukunguza hadi ukoo wako, nijuavyo mimi sio kwamba wanaomba ila baada ya kuchunguzwa kwa kina na kujiridhisha ndio hapo unaitwa kwenda kwenye chuo chao. kwahiyo huyo mwenye nia mwambie tu asahau. sio mchakato wa muda mfupi
 
Wanajamvi salama ndugu zangu, mimi nina shida moja naomba kujua utaratibu wa kujiunga na usalama wa taifa kwa yeyote anaejua kuna mtu anapenda sana kuwa usalama lakini hajui ni jinsi gani ya kujiunga ila tayari ni mtumishi wa serikali ni mwalimu na ana miaka 35. Kwa yeyote anayejua tafadhali msaada tutani, asanteni.
Asipoteze muda, aendelee na kazi tu, kwenye mfumo huwa mtu hajiingizi bali anaingizwa, km angeonekana anafaa hukohuko katika ajira yake wange mchukua kimya kimya, kwakifupi hana vigezo.
 
Duu kuna rafiki yangu alikonectiwa aende huko sasa akaitwa kwenye interview hayo maswali aliyoulizwa mwee.

1. Nani kakwambia hapa kuna kazi?
2. Kuna sehemu gani umeona tumetangaza.
3. Sawa umekuja omba kazi ehee kazi gani hapa ipo
4. Sasa kijana unajua majukumu ya hii kazi hebu tutajie

Mkuu ww tulia tuu huwezi pata hiyo kazi ni za kurithi hizo au itokee tuu watangaze kazi nyengine unashtukia mkiomba wanajichujia tu watu unashtukizia ushakuwa usalama
 
mada za hivi zishaongelewa sana humu...hivi huwezi kusearch key words ili kujiridhisha km hii kitu ilishajadiliwa au la?ebu search izo mada za usalama wa taifa(shushushu) zimo humu kibao na watu wamefunguka mauzoefu yao mpk basi...we nenda tu kaupdate(kacomment) kweny hizo nyuzi...zitakuja tn na waliokuwa interested wataendelea kufunguka.
Sipendi kbs hii tabia ya mtu kuanzisha anzisha uzi ovyo japo jf rules hazikubani ila inaboa mara nyengn.
 
Anza kuwa mwana usalama ktk familia na jamii inayokuzunguka ukionesha uwwzo apo utachukuliwa mkuu
 
Hii mada ilishajadiliwa sana humu ndani.Nakumbuka hiyo siku nilisoma comment za watu karibu kutwa nzima.Kwa kweli watu walifunguka vya kutosha na inaonekana hadi wahusika wenyewe walitupia madini yao humu.Kwa kweli ilikuwa mada njema sana.

Ninachokumbuka,wadau walisema hiyo nafasi unaipata kama vile kushushiwa kutoka mbinguni,ni aina ya kazi kama ya Malaika,sio kazi unayoweza kuomba wala hazitangazwi na wanaozipata ni wale tu ambao wala hawajawahi kuwaza kuwa Wanausalama na sio huyo anayelala kila siku anaota kuwa usalama.
 
Duu kuna rafiki yangu alikonectiwa aende huko sasa akaitwa kwenye interview hayo maswali aliyoulizwa mwee.

1. Nani kakwambia hapa kuna kazi?
2. Kuna sehemu gani umeona tumetangaza.
3. Sawa umekuja omba kazi ehee kazi gani hapa ipo
4. Sasa kijana unajua majukumu ya hii kazi hebu tutajie

Mkuu ww tulia tuu huwezi pata hiyo kazi ni za kurithi hizo au itokee tuu watangaze kazi nyengine unashtukia mkiomba wanajichujia tu watu unashtukizia ushakuwa usalama

hahaha
 
Do you even know who you are?miaka 35 hujachelewa bado,lakini sio kazi ya kuitamani,vijana wengi mnadanganyana humu.lakini hata walio ndani ya idara wanataman kutoka ila ndo hivo tayari wana life time committment na idara mpaka kifo kitakapowatenganisha.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom