Natafuta Kazi Usalama Wa taifa

Natafuta Kazi Usalama Wa taifa

Status
Not open for further replies.
Ndugu njia nyepesi ya kufikisha ujumbe wako ni kwa njia ya barua. Maana hata kama mtu hataki kukusikiliza lakini barua ataisoma hadi mwisho. Weka CV zako zote, Anuani ikiwa ni pa moja na namba za simu na barua pepe. Ila sasa usiogope kupokea simu. Elekeza
maombi kwa Mkurugenzi Mkuu wa UWT. Akifanikiwa naye asiwaige wanaoifanya kazi hiyo kuonekana ni ya watu walioshuka toka mawinguni wakati ni kazi ya kawaida kabisa. Siku njema na Mapumziko Mema.

Mkuu kiukweli nashkuru sana sana kwa msaada wako wa kimawazo nadhan hiyo ni njia nzuri zaidi sana mkuu nomba kama una posta address yao unisaidie hata kama ni PM maana hata anuani yao haionekani kbsa kbsaa nifanye hivyo then niko tayar kumsikia akinipigia simu nitajikaza niongee nae
 
Amesha feli coz hana confidence ya kutosha kukabil majukum
 
Mkuu kiukweli nashkuru sana sana kwa msaada wako wa kimawazo nadhan hiyo ni njia nzuri zaidi sana mkuu nomba kama una posta address yao unisaidie hata kama ni PM maana hata anuani yao haionekani kbsa kbsaa nifanye hivyo then niko tayar kumsikia akinipigia simu nitajikaza niongee nae

Kumbe ni ww mwenyewe ndo unaitaka, hata ukiomba kuwa mvumilivu maana inaweza chukua hata 3years ndo unakuja kuitwa!
 
mpaka hapo tu tayari umekosa kazi

Hahahahaa kwanini mkuu unasema hivyoo inaonekana unajua kuhusu hii idara mkuu nipe basi taarifa kidogo za kumsaidi huyu kijana wetu mkuu anapenda sana
 
Kumbe ni ww mwenyewe ndo unaitaka, hata ukiomba kuwa mvumilivu maana inaweza chukua hata 3years ndo unakuja kuitwa!

Hapana mkuu siyo mimi ni mdogo wangu mimi ni Mwalimu natumikia taifa kama mwalimu yeye mdogo wangu ndiye anapenda hii kazi yani mpka imekua kero kwetu kaka ngoja nitaenda nijue itakuaje then nitamwambia haya uliyoyasema kama watayasema pia hao watu wa idara
 
Hawafuatwi bali wanakufuata wenyewe baada ya kukuchunguza muda mrefu pengine tangu primary enzi za nyerere maana wakuu wa shule wote na taasisi mbalimbali walikuwa informers. Hivyo walikuwa na jukumu la ku identify possible candidates baada ya wao kuwafanyia vetting za awali. Hao ndiyo walikuwa wasalama kweli. Leo hii unaingia huko kwa vimemo na wajukuu wa wasalama waliopita madotcom ndiyo maana kwa kuwa hawana proper vetting basi siri nje nje kama dagaa la kigoma.
 
Jaman mimi naomba niulize hivi nikienda ofsi za usalama wa taifa zozote nikauliza namna ya kupata kazi zao wanaweza kunidhuru au kunifanyia kitu mbaya nataka niende nikamuulizie mdogo wangu anapenda sana hiyo kazi jaman sasa hata pa kuanzia hana

Halafu akishapat tu hiyo kazi utakuja kutangaZA hapa na bila shaka ushawauliza watu kibao kama mdogo wako anaitaka hiyo kazi. Mpaka hapo tayari ukoo wenu umekosa sifa ya kufanya kazi idara hiyo. Sio kila mnachokihitaji mnatakiwa kutangaza. Mwambie tu apambane aende jeshini au polisi nao ni wana usalama pia!
 
mdogo wangu anaogopa sana mkuu yani sana tena ndo usimwambie kbsaaa habari za kwenda huko ofsini kwao yani anatetemeka sana aisee ila kila saa ananiambia broo nisadie unipe clue ya kuweza kujiunga na kazi hiyoo jaman nishasubiria sana shule nikakosa moka sasa anaingia form six sasa hawajawahi kwenda shule yeyote aliyosomea hilo hata mimi nathibitisha kua tangu nianze shule hawa jamaa sijawahi kuona wanakuja kutafuta watu shuleni kama watu wasemavyoo sasa ndo natamani niende ofisini kwao wanipe procedure za kufata sasa naogopa na mimi nisijeshindwa kurudi tena nyumbani akwa historia kua Tumbu alipotelea UWT rabda maana nasikia hiyo ya jkt haiaminiki unaweza kwenda hulo na wasije kbsaa kufata watu huko mkuuu

Km anaogopa hiyo kazi anaipendea nini....na ataiweza kweli......haingii akilini...we unapenda udaktari halafu kuingia hospitali unaogopa nonsense...unless wewe ndo unaipenda hiyo kazi sio mdg wako
 
Halafu akishapat tu hiyo kazi utakuja kutangaZA hapa na bila shaka ushawauliza watu kibao kama mdogo wako anaitaka hiyo kazi. Mpaka hapo tayari ukoo wenu umekosa sifa ya kufanya kazi idara hiyo. Sio kila mnachokihitaji mnatakiwa kutangaza. Mwambie tu apambane aende jeshini au polisi nao ni wana usalama pia!

Kwani hii kazi inaenda kiukoo ndugu maana naona umegeneralize kua ukoo wote hautapata hiyo kazi na akipata lazima atangaze kwani hata mimj naweza nisijue akishapata pia na inawezekan sana tu by the way mdogo wako siyo lazima awe wa ukoo wako au hata hicho kitu hukijui mkuu istoshe kwenye katiba imetaja kbsa vyombo vya ulinzi na usalama hasa TPDF,POLICE,TISS na jeshi la police na jwtz inajulikana namna anavyojiunga na vyombo hivi kasoro hii idara ya UWT sasa kama wai wenyewe wameitaja kwenye katiba walifikiri watu hawatapenda kujua namna ya kujiunga kama vyombo vingine vya ulinzi na usalama???basi wasingeitaja hii idara tusiijue kbsaa basi kosa liko wapi kuuliza??kama hawatataka kumuajiri ni kwa sababu zao na si kwamba nimmsaidia kuulizia kuhusu namna ya kujiunga
 
Jaman mimi naomba niulize hivi nikienda ofsi za usalama wa taifa zozote nikauliza namna ya kupata kazi zao wanaweza kunidhuru au kunifanyia kitu mbaya nataka niende nikamuulizie mdogo wangu anapenda sana hiyo kazi jaman sasa hata pa kuanzia hana

Ukibadilisha jina Lako nitakusaidia,,,,,other wise better you go.
 
Km anaogopa hiyo kazi anaipendea nini....na ataiweza kweli......haingii akilini...we unapenda udaktari halafu kuingia hospitali unaogopa nonsense...unless wewe ndo unaipenda hiyo kazi sio mdg wako

Mkuu mimi ni mwalimu na nitaitumikia taifa kama mwalimu baaasi sasa kuogopa kunatokana na mambo mengi nadhan either inaweza kua ni nature yenyewe ya kaz ingawa anapenda kwani hakuna ambao wanapenda kua wanajeshi lakinj wanawaogopa wanajeshi??mfano ukioutoa siyo relevant kbsaa hajaogopa kusomea UWT anaogopa watu wa UWT kama vile mtu anavyopenda kua mwanajeshi ila anaogopa wanajeshi bere in your mind .kuu
 
😀😀😀eti kama wameshushwa mawinguni.nahisi promo hapa,kama sio muhusika wa huko unisamehe.kwa akili ya haraka haraka nimeshtuka.

Mwambie hata hivyo alivyo keshakuwa teyar.au anataka mshahara😕:
 
😀😀😀eti kama wameshushwa mawinguni.nahisi promo hapa,kama sio muhusika wa huko unisamehe.kwa akili ya haraka haraka nimeshtuka.

Mwambie hata hivyo alivyo keshakuwa teyar.au anataka mshahara😕:

kidding........eeeh acha utani bana toa comment ya title mkuu kama unajua chochote
 
Wewe acha ushamba ile kazi hawaajiri kama unavyozani, wale wanachukua vijana kutoka jkt na mala nyingine mtu anakuwa kabisa labda ni mwanajeshi au polisi anaamishwa kitengo anapelekwa kule ndo maana hauoni matangazo, ukienda watakujibu kuwa mwambie mdogo wako ajiunge kwanza na jkt na kule ndo watamtathmin kama anafaa au laa, ila inabidi mdogo wako aanze kujifunza umbeya mapema maana ile kazi ni ya umbeaumbea saaaana
 
Wewe acha ushamba ile kazi hawaajiri kama unavyozani, wale wanachukua vijana kutoka jkt na mala nyingine mtu anakuwa kabisa labda ni mwanajeshi au polisi anaamishwa kitengo anapelekwa kule ndo maana hauoni matangazo, ukienda watakujibu kuwa mwambie mdogo wako ajiunge kwanza na jkt na kule ndo watamtathmin kama anafaa au laa, ila inabidi mdogo wako aanze kujifunza umbeya mapema maana ile kazi ni ya umbeaumbea saaaana

Asnte sana brother kwa msaada wako wa ushauri mzuri Mungu akujalie
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom