tutorial assistant

A tutorial, in education, is a method of transferring knowledge and may be used as a part of a learning process. More interactive and specific than a book or a lecture, a tutorial seeks to teach by example and supply the information to complete a certain task.
A tutorial can be taken in many forms, ranging from a set of instructions to complete a task to an interactive problem solving session (usually in academia).

View More On Wikipedia.org
  1. D

    GPA ya ngapi inahitajika kupata tutorial assistant

    Nilikua nauliza ni GPA ya ngapi inahitajika kua shortlisted kwenye interview za tutorial assistant katika vyuo vya umma
  2. jastertz

    Msaada kwa anaejua mwenye uzoefu na maswali ya Tutorial Assistant - ECONOMICS

    Habari wana JF, Leo nimeamka nimekuta nipo shortlisted kwenda kwenye interview ya Chuo fulani, ndani ya week mbili zijazo ila sijawahi kufanya interview ya upande wa Economics. Naombeni mnisaidie huwa wanabase kwenye vitu gani hasa, ili nijichimbie huko. Kuna uzi humu wa tutorial assistant...
  3. D

    B Plain sio kikwazo cha kuwa Tutorial Assistant?

    Habari za muda huu, Nilikua nauliza je kwa mfano umepata GPA zaidi ya 3.8 bachelor degree ila kuna baadhi ya kozi core umepata B plain unaeza omba nafasi ya tutorial assistant na ukawa shortlisted kuitwa kwenye interview
  4. hooligan01

    Naomba ushauri kwa mdogo wangu kuhusu ajira ya Tutorial Assistant

    Habarini ndugu zangu nilikuwanaomba ushauri kuna dogo langu anafundisha chuo kikuu cha Dar es Salaam kama Tutorial Assistant na kaitwa kufanya interview TRA kama Tutorial assistant. Yuko anauliza je kuna umuhimu wa yeye kwenda TRA kufanya interview na akaachana na UDSM maana salary scale ya TRA...
  5. Sanyambila

    MSAADA: Natamani kuwa Tutorial assistant Nina GPA YA 4.1 lakini ajira portal inanikataa msaada

    Habari wadau Naamini hili jukwaa ni kubwa saana Na Lina wataaluma au wahusika wa ajira portal. Nina Ndugu yangu anaomba msaada hii ajira portal inamzingua kwanza kabisa amejaza tarifa zake zote na Ana 97% Ila Ina mgomea Taarifa binafsi yeye amemaliza chuo KIKUU na Ana GPA Ya 4.1 program yake...
  6. Jorge WIP

    Usahili: Tutorial Assistant, Kuna baadhi ya mambo kuhusu written interview ningependa kufahamishwa

    Habari za wakati huu my virtual family JF Nikienda moja kwa moja kwenye mada nina interview hivi karibuni ya TA(Tutorial Assistant) katika institute X kwahiyo naomba kufahamishwa kuwa hizi interview zinakuwa vipi. Accounting & Finance Hasa nazungumzia written tunayoanza nayo na oral pia...
  7. Jamii Opportunities

    Tutorial Assistant at Abdulrahman Al-Sumait University (SUMAIT)

    Abdulrahman Al-Sumait University (SUMAIT) is built on the foundation of the former University College of Education Zanzibar established in 1998 by a charity organization; Kuwait based , Direct Aid (DA). In line with this expansion, SUMAIT wishes to invites applications from suitable qualified...
  8. M

    Tutorial Assistant

    Habari za saizi wana jamii forum nimekuja mbele yenu kuna issue nataka kuulizia maana kuna mtu anaulizia Ni vigezo gani vya kuwa tutorial assistant kwa vyuo vikuu na vyuo vya kati amemaliza mwaka huu ana overall GPA ya 3.8 ifm na kama kuna mtu yoyote ana sample ya barua ya maombi anaomba...
  9. B

    Msaada: Ni vigezo vipi vinahitajika ili kuwa Mkufunzi wa Chuo?

    Naomba msaada wa mawazo ndugu zangu wana JF. Mawazo yenu yana faida kubwa sana. Ni mara ya pili naandika uzi unaofanana na huu lakini mara ya kwanza niliambulia patupu. Sikupata mchango wenu kabisa. Niliumia kidogo lakini nina desturi ya kutokukata tamaa. Nakwenda moja kwa moja kwenye mada...
Back
Top Bottom