A tutorial, in education, is a method of transferring knowledge and may be used as a part of a learning process. More interactive and specific than a book or a lecture, a tutorial seeks to teach by example and supply the information to complete a certain task.
A tutorial can be taken in many forms, ranging from a set of instructions to complete a task to an interactive problem solving session (usually in academia).
Habari wana JF,
Leo nimeamka nimekuta nipo shortlisted kwenda kwenye interview ya Chuo fulani, ndani ya week mbili zijazo ila sijawahi kufanya interview ya upande wa Economics.
Naombeni mnisaidie huwa wanabase kwenye vitu gani hasa, ili nijichimbie huko. Kuna uzi humu wa tutorial assistant...
Habari za muda huu,
Nilikua nauliza je kwa mfano umepata GPA zaidi ya 3.8 bachelor degree ila kuna baadhi ya kozi core umepata B plain unaeza omba nafasi ya tutorial assistant na ukawa shortlisted kuitwa kwenye interview
Habarini ndugu zangu nilikuwanaomba ushauri kuna dogo langu anafundisha chuo kikuu cha Dar es Salaam kama Tutorial Assistant na kaitwa kufanya interview TRA kama Tutorial assistant.
Yuko anauliza je kuna umuhimu wa yeye kwenda TRA kufanya interview na akaachana na UDSM maana salary scale ya TRA...
Habari wadau
Naamini hili jukwaa ni kubwa saana Na Lina wataaluma au wahusika wa ajira portal. Nina Ndugu yangu anaomba msaada hii ajira portal inamzingua kwanza kabisa amejaza tarifa zake zote na Ana 97% Ila Ina mgomea
Taarifa binafsi yeye amemaliza chuo KIKUU na Ana GPA Ya 4.1 program yake...
Habari za wakati huu my virtual family JF
Nikienda moja kwa moja kwenye mada nina interview hivi karibuni ya TA(Tutorial Assistant) katika institute X kwahiyo naomba kufahamishwa kuwa hizi interview zinakuwa vipi. Accounting & Finance
Hasa nazungumzia written tunayoanza nayo na oral pia...
Abdulrahman Al-Sumait University (SUMAIT) is built on the foundation of the former University College of Education Zanzibar established in 1998 by a charity organization; Kuwait based , Direct Aid (DA). In line with this expansion, SUMAIT wishes to invites applications from suitable qualified...
Habari za saizi wana jamii forum nimekuja mbele yenu kuna issue nataka kuulizia maana kuna mtu anaulizia
Ni vigezo gani vya kuwa tutorial assistant kwa vyuo vikuu na vyuo vya kati amemaliza mwaka huu ana overall GPA ya 3.8 ifm na kama kuna mtu yoyote ana sample ya barua ya maombi anaomba...
Naomba msaada wa mawazo ndugu zangu wana JF. Mawazo yenu yana faida kubwa sana. Ni mara ya pili naandika uzi unaofanana na huu lakini mara ya kwanza niliambulia patupu. Sikupata mchango wenu kabisa. Niliumia kidogo lakini nina desturi ya kutokukata tamaa.
Nakwenda moja kwa moja kwenye mada...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.