Kuna binti mmoja, ni mke wa mtu, lakini ananiumiza kichwa sana siku hizi. Mume wake alimfungulia duka kubwa tu awe anakuwa bize, na kwa kuwa hata mimi nina duka katika mitaa hiyo, tulianza kuzoeana kama majirani. Kila nilipopita na kumuona, sikusita kumsalimia na mara nyingi tulikuwa tunapiga stori chache. Kadri muda ulivyokwenda akanizoea sana, hadi nikikosa kupita huanza kutafuta sababu yoyote ili niende kumuona. Sasa hivi hali imebadilika kidogo, maana ameanza kuonyesha wazi kwamba ananipenda sana.
mara ya kwanza alikuwa ananipa signals ila nadhani utani kumbe yeye kazama deep sana
kawa wazi mno kuhusu hisia zake kwangu
Anajua kabisa nina mke lakini hajali na kwa kutia msisitizo aliwahi kunitumia hadi clips za Engonga akijitetea dunia imeharibika ila nilishajua hesabu alizopiga,
najitahidi sana ku back off lakini kadhamiria,
niwe wazi, angekuwa mjanja labda ningefikiria kuchepuka lakini ni mweupe sana upstairs, nimemdadisi bado ni mgeni sana kwenye ishu nzima ya uchepukaji, hata simu yake pattern ni nyepesi sana, kwangu ni jambo ambalo halitawezekana kabisa.
nawezaje kumfanya aelewe haiwezekani bila kuumiza hisia zake na tuendelee kuwa marafiki tu ? maana ninajua wazi nikikubali tu lazima tunaswe na kumkwepa ni ngumu kwasababu nina ofisi eneo hilo na lazima kila siku nipite mchana au jioni.
mara ya kwanza alikuwa ananipa signals ila nadhani utani kumbe yeye kazama deep sana
kawa wazi mno kuhusu hisia zake kwangu
Anajua kabisa nina mke lakini hajali na kwa kutia msisitizo aliwahi kunitumia hadi clips za Engonga akijitetea dunia imeharibika ila nilishajua hesabu alizopiga,
najitahidi sana ku back off lakini kadhamiria,
niwe wazi, angekuwa mjanja labda ningefikiria kuchepuka lakini ni mweupe sana upstairs, nimemdadisi bado ni mgeni sana kwenye ishu nzima ya uchepukaji, hata simu yake pattern ni nyepesi sana, kwangu ni jambo ambalo halitawezekana kabisa.
nawezaje kumfanya aelewe haiwezekani bila kuumiza hisia zake na tuendelee kuwa marafiki tu ? maana ninajua wazi nikikubali tu lazima tunaswe na kumkwepa ni ngumu kwasababu nina ofisi eneo hilo na lazima kila siku nipite mchana au jioni.