"Nasubiri kwa hamu maandamano ya CHADEMA Moshi"!

"Nasubiri kwa hamu maandamano ya CHADEMA Moshi"!

Status
Not open for further replies.
Chadema nichama cha wapiga dili wachache na wengine wanaburuzwa tu kama mizigo.
 
Jamani mimi leo sina pakwenda nataka nikayasikilize Maccm Jangwani je ratiba ya mkutano unaanza saa ngapi?
 
babu na bibi na baadhi ya dada na shangazi wa mtei wapo wapi hata vitaga uchumi vingi vya mtei vipo wapi hili liko wazi kuwa ni moshi.


we mwehu nini hata tarifa ya habari huangalii basi la mtei lagonga magari matatu babati....angalia mtei coach toka arusha to singida pitia bbt kila baada ya saaa...pale tengeru arusha kuna shamba kubwa la migomba kahawa na mahindi
 
Unajitisha mwenyewe tu..
wewe si unatembea na tindikali tulikaa mbali.

Ila ukija tena fanya utafiti kidogo tu:
Tembelea ofisi za uvccm wilaya zote na za mkoa angalia miradi na
programu walizonazo kwa vijana wenzao wa Moshi na mkoa
then rudi katika vibanda vyenu kule majengo
na kwingineko utaona aina ya siasa tunazofanya mkuu.

Siku CDM wakikupa uongozi wowote nitashangaa sana, huna "ethics"
hivi unaweza kujilinganisha na Mnyika wewe??

Mpaka leo hii sioni kipya kwako. Hebu pata picha JF ikifungwa leo
wapi utakaposikika tena??? Na kwa kipi??
Huyo Nape kila siku unamtizama kwenye TV yako na familia yako wewe je???

Mkuu hebu jipange<> usiwe kama Josephine.......si unajua naye anapenda JF ili kupata umaarufu.

Ongezea na fb na twitter na kale kajukwaa kao ya Fungukaforum. Huyo ni mwanasiasa wa mtandaoni.
 
Nimekutana na kijana asub leo wakati natoka mazoezini akaniuliza;
"Kaka Nape mambo vipi? Mie mshabiki kufa wa Chadema lakini sijapata mtu wa kunijibu kwanini Chadema kila wakipanga maandamano wanapanga, Dar,Mwanza, Arusha na nimesikia wanakwenda Mbeya tar. 10. Kwanini hawapangi maandamano anakotoka muasisi wa Chadema Mzee Mtei?!!!"
Nikainama chini nikamuuliza uchaguzi ndani ya chama chenu lini?! Akastuka kidogo, akanambia hivi unatakiwa kuwa mwaka huu kweli!?!! "Mhhh hilo nalo swali! Lakini hivi tukifanya uchaguzi Chama chetu kitapona kweli?! Nadhani bora tusifanya uchaguzi mpaka tutakapokamata dola"! Alisisitiza kijana.
Nikamjibu "BWANA YESU KRISTO ASIFIWE"!

first degree nonsense
 
Unajitisha mwenyewe tu..
wewe si unatembea na tindikali tulikaa mbali.

Ila ukija tena fanya utafiti kidogo tu:
Tembelea ofisi za uvccm wilaya zote na za mkoa angalia miradi na
programu walizonazo kwa vijana wenzao wa Moshi na mkoa
then rudi katika vibanda vyenu kule majengo
na kwingineko utaona aina ya siasa tunazofanya mkuu.

Siku CDM wakikupa uongozi wowote nitashangaa sana, huna "ethics"
hivi unaweza kujilinganisha na Mnyika wewe??

Mpaka leo hii sioni kipya kwako. Hebu pata picha JF ikifungwa leo
wapi utakaposikika tena??? Na kwa kipi??
Huyo Nape kila siku unamtizama kwenye TV yako na familia yako wewe je???

Mkuu hebu jipange<> usiwe kama Josephine.......si unajua naye anapenda JF ili kupata umaarufu.

-1- Habari mbaya kwako na wenzako:Tayari mimi ni Mtendaji wa CHADEMA Makao Makuu baada ya kuacha kazi nyingi zenye maslahi makubwa.Kwangu naamini "Multiplier Effect"(Ukiomba tafsiri nitakupatia bila kinyongo maana kama huna taaluma ya uchumi na kama hujui kiingereza ni ngumu kuelewa) ni kubwa kuliko kuwa ofisi nyingine.Hii ndiyo falsafa iliyomsukuma Mwalimu Nyerere baada ya kutoka Edinburg!

2:Nilishakuliza ni nini ajenda yako kama kiongozi wa vijana kuhusu Baraza huru la vijana la Taifa ukaishia kutoa matusi.Mchango wako na UVCCM mkoa kwenye zoezi la Maoni ya mabaraza ya katiba ya chama chako kwenye ajenda hii ni nini?

Miradi ipi ya maendeleo zaidi ya ukumbi wa sinema za mazingaombwe pale Mafuta Strt nyuma ya kanisa la TAG tena bila ukarabati.Carwash za Kiusa ndio miradi ya Maendeleo? Tena zinazochafua Mazingira?

3:JF ikifungwa leo?Nimechangia kuifanya JF hapa ilipo na wewe kupata platform ya kuandika utumbo hapa.Nisipoandika JF nitaandika kwenye International Journals.Wewe je?Katibu wako wa Itikadi na Uenezi Je?

4:Hatuwezi kufanana na Mnyika maana hata Oliver Tambo na Albert Luthuli hawakufanana,Malcom X na Martin Luther Hawakufanana,Mahatma Gandhi na Jawahlal Nehru hawakufanana .Yes,hawakufanana kumaumbile ika walifanana kiitikadi na kimapinduzi!

Soma maarifa ya mbali,tofauti na kufikiria ndani ya Wigo wa Mtaa wa Mafuta,Kiusa na Njoro tu.
 
Nape nakukumbusha tu haya maneno Mnafiki,Mzandiki, muongo na Mfitini.....
aliyasema JK juzi katika hotuba yake nzuri kama wengi wenu mlivoiaiki
kwa hivo tuseme JK amefikia mwiho na kaishiwa hoja???ndivo unavomaanisha
Ben kakutega kwa makusudi kuhusu haya maneno na wewe ukatumbukia shimoni bila kuelewa alilenga nini..
aisee poleni sana sina chama lakini kwa uongozi wako napata mashakat kama mlistahili kupewa nafasi hiyo


Matusi, kejeli na maneno ya kitoto kama yako ni dalili za mwisho za kuoshiwa hoja! Kwaheri kwasababu ujumbe umefuka vizuri sana!
 
Pumbavvu wewe nani alikudanganya Freeman Mbowe anatoka Moshi? Hivi hata simple logic hujui Mbowe ni mbunge wa wapi? Sasa hapa tunajadiliana nini na watu waliooza ubongo wasiozijuwa hata wilaya za nchi yao?

Basi na Jumanne Magembe na Anne Kilango tufanye wanatoka Moshi ili ufurahi mbulula wewe.
Bora umpe shule na bakora juu anatia aibu na uzee wote alionao hajui Hai sio Moshi...
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom