sweetlady
JF-Expert Member
- Dec 24, 2010
- 16,967
- 8,498
Jifunze kuandika kiswahili.Neno 'UNANAMBIA' halipo kwenye kamusi.
Nani aliyekuambia Tunataka kutawala?Ni nani aliyekuambia kuwa Nyerere alitawala?
Msamehe bure anajua yuko kwenye taarabu huyo bibi! Akafanye kolabo na mwenyekiti wa chama chake hiyo ndiyo kazi wanayoiweza.... Mwenyekiti bingwa wa mipasho, wanachama wake unategemea waweje?