nasikitika, lakini sikuwa na jinsi

nasikitika, lakini sikuwa na jinsi

Watu kama nyinyi ndo unatufanya wengne tuonekane mabazazi tusio na utu! Any way hongera wewe ni ndoto ya wazazi wengi hasa wenyd watoto wa kike ambao wanatolewa bikra zote mbili hata kama hawajafika miaka 18.

mkuu bikira mbili za wapi na wapi?
 
kuna watu wanazitafuta bikra zaidi ya lowasa anavyoutafuta uraisi,ila hongera maamuzi ka hayo ndo yanayotakiwa.
 
kikubwa nikua sinaplan ya kumuoa na yeye anajua ntamuoa. Nilivyomuapproach nilijua ni girl ambae tutakua pamoja kwa kipindi flani then tutaachana, but kwake ni toafauti. So nimeamua nimpe sababu ya tofauti ya dini angalau aelewe

we jamaa ni dwanzi...hivi we ungekuwa demu ungekubali jamaa akugegede kwa muda tu thn muachane...eti nilivyokuwa namuapproach nilikuwa najua tutakua pamoja kwa kipindi flani thn tunaachana...ma------ yako,huyo binti angekuwa mwanangu ningekulamba shaba mwaribifu we
 
kikubwa nikua sinaplan ya kumuoa na yeye anajua ntamuoa. Nilivyomuapproach nilijua ni girl ambae tutakua pamoja kwa kipindi flani then tutaachana, but kwake ni toafauti. So nimeamua nimpe sababu ya tofauti ya dini angalau aelewe

we ni mpenda ngono tu huna lolote
 
ni maamuzi mazur japo mazito,dini isiwe kikwazo kwenu kama bado mnapendana sana mnaweza kuangalia yupi yupo tayar kubadili dini na kumfuata mwenzake kisha mkatimiza adhima yenu ya kuoana.Lakini kama kila mmoja hayuko tayar kubadili dini basi aendelee na maisha yake
 
Bikira zipo tena original kama wewe ya kwako uliigawa kabla ya kuolewa shame on you.Ulipaswa kumtunzia mmeo na si vinginevyo hivyo usiwakejeli walio nazo.Bikira zipo tena hata kwa wadada waliomaliza University. Kama amelelewa kwa malezi yanayompendeza bwana lazima bikira iwepo.

bora umemwambia ukweli,kama yeye alishindwa kujitunza asiwakejeli wenzake.linaloshindikana kwake kwa wenzake lawezekana.
 
ila we jamaa huna akili. umeacha kitu sealed kisa dini. wote mnaamini mungu mmoja ila sehemu tofauti. huyo mungu wako amekuagza umchukie mwenzako kisa dini tofauti? yani hizi din zmetufanya tuwaone watu flan wa dini nyngne ni wasiofaa.mungu hapendi!
 
Bikira zipo tena original kama wewe ya kwako uliigawa kabla ya kuolewa shame on you.Ulipaswa kumtunzia mmeo na si vinginevyo hivyo usiwakejeli walio nazo.Bikira zipo tena hata kwa wadada waliomaliza University. Kama amelelewa kwa malezi yanayompendeza bwana lazima bikira iwepo.

Exactly!!!!!
 
hivi kuna mungu ambae mpango wake ni kwamba watu wa dini mbili tofauti wasi oane au huyo mungu wako haja agiza kwamba enendeni na mkaijaze dunia, ama kweli dini za kigeni nia yake sio kuleta umoja bali utengano
 
dini ndo sbb?
huukumpenda, ndo ulikuwa unajifunza umpennda!
 
dini ndo sbb?
huukumpenda, ndo ulikuwa unajifunza umpennda!

kikubwa zaidi sijawahi kuwaza kama nitamuoa, imebidi nitumie kigezo cha dini ili ajue kuwa sitamuoa kwa kigezo hicho
 
habari zenu wa mmu. Leo nimefanya maamuzi mazito kabisa. Ni hivi mimi nina mpenzi wangu ambae tuna muda wa miezi 6 tangu tumekua pamoja japo muda 80 percent ya mapenzi yetu yalikua kwa njia ya mawasiliano, as kwanza tulikua mikoa tofauti na nilivyokuja dar yeye yupo dar hii lakini ni geti kali na anasoma chuo cha MAGOGONi. Tatizo ni kuwa yeye ananipenda sana na kila siku anaongelea swala la kuoana, wakati me sijamfikiria kumuoa. Kikubwa zaidi yeye ni bikra na uzuri hatujawahi kusex bt tulipanga siku za karibuni. Nimeamua kumwambia ukweli kuwa sitaweza kumuoa kwa vile yeye na mimi tuko dini tofauti, amelia sana but me nimeona ni bora kuliko ningemwambia baada ya kusex nae. Wadau nimefanya uamuzi sahihi au nimekosea?

Hiyo bikira uliiona? Acha kujipa hope mdau. Kwa hilo ni vizuri kumuweka wazi.
 
TUPE JINA TUKAMSHAKANYE TUMUOWE...inawezekana alikuwa anakubania tu wengine wanakula,mchezo wa kipemba au znz amiiii
 
Back
Top Bottom