Old Skuli
JF-Expert Member
- Aug 21, 2012
- 690
- 178
Hahahaaa.....jf is never boring!
ebanaeeee...umetisha mkuu
Hahahaaa.....jf is never boring!
Akuanani,wanaume 'nyoko' yaani anavyokuja kwako akili yake imeshapanga ww wa kuzugia,with tym anakumwaga!halafu wenyew tunavyojuaga kufall masikini!
...bora ht umemuacha na bikira yake mtt wa watu
.......unafikiri km ww huwezi ni wote?...u a wrong my frnd wapo ambao wanaelewa nn wanafanya kwny mahusiano, sio wote wapigaji tu.......na ofcoz im occupiedsasa na wewe unasubiria wa kukwambia akuoe?
Kam wewe ulibikiriwa ukiwa na miaka 13 haimaanishi wanawake wote wanabikiriwa wakiwa na umri huoMagogoni siku hizi wanasoma watoto wa miaka 12? Bikra? Ya wapi?
He he, umejinyima uhondo bure.
mwanangu umefanya poa sana! ila mu advice asiwe desperate kiasi kwamba aje ammpe bikra yeyote atakae kuja After you!habari zenu wa mmu. Leo nimefanya maamuzi mazito kabisa. Ni hivi mimi nina mpenzi wangu ambae tuna muda wa miezi 6 tangu tumekua pamoja japo muda 80 percent ya mapenzi yetu yalikua kwa njia ya mawasiliano, as kwanza tulikua mikoa tofauti na nilivyokuja dar yeye yupo dar hii lakini ni geti kali na anasoma chuo cha MAGOGONi. Tatizo ni kuwa yeye ananipenda sana na kila siku anaongelea swala la kuoana, wakati me sijamfikiria kumuoa. Kikubwa zaidi yeye ni bikra na uzuri hatujawahi kusex bt tulipanga siku za karibuni. Nimeamua kumwambia ukweli kuwa sitaweza kumuoa kwa vile yeye na mimi tuko dini tofauti, amelia sana but me nimeona ni bora kuliko ningemwambia baada ya kusex nae. Wadau nimefanya uamuzi sahihi au nimekosea?