nasikitika, lakini sikuwa na jinsi

nasikitika, lakini sikuwa na jinsi

iv kwa nin mabinti kwenye mahusiono wanatanguliza ndoa?? sio kila mahusiano mfikie kwenye ndoa, mengine ni ya kurambana sukari tuuu. girls u shld know that c kila mahusiano ni ndoa!!!!
 
Huyu msichana anabahati kakutana na wewe..anaeza akakutana na wengine ahaidiwe kuolewa ile kwake..
 
umefanya maamuzi sahihi, ataumia kwa kipndi hiki ila baadae atakushukuru
 
hujakosea
hongera kaka hii kitu nilikutananayo Arusha kuna dada mmoja nilijuanaye mwaka 2008 wakati naenda chuo tukawa tunachat hadi mwaka jana aliniambia ukweli kuwa yeye ni virgin nikamwambia cna mpango wa kumwoa kuliko nije nikuharibu wakati muda wote umejitunza na umevumilia hivyo kuanzia hapo tukawa marafiki wa kawaida hadi leo pamoja na kuwa aliumia sana lakini bora umwambie ukweli kuliko umwaribie.
 
habari zenu wa mmu. Leo nimefanya maamuzi mazito kabisa. Ni hivi mimi nina mpenzi wangu ambae tuna muda wa miezi 6 tangu tumekua pamoja japo muda 80 percent ya mapenzi yetu yalikua kwa njia ya mawasiliano, as kwanza tulikua mikoa tofauti na nilivyokuja dar yeye yupo dar hii lakini ni geti kali na anasoma chuo cha MAGOGONi. Tatizo ni kuwa yeye ananipenda sana na kila siku anaongelea swala la kuoana, wakati me sijamfikiria kumuoa. Kikubwa zaidi yeye ni bikra na uzuri hatujawahi kusex bt tulipanga siku za karibuni. Nimeamua kumwambia ukweli kuwa sitaweza kumuoa kwa vile yeye na mimi tuko dini tofauti, amelia sana but me nimeona ni bora kuliko ningemwambia baada ya kusex nae. Wadau nimefanya uamuzi sahihi au nimekosea?

uko sawa kwa kumwambia ukweli ili usiendelee kumpotezea muda. Ila next time kabla hujaingia kwenye mahusiano hakikisha vigezo vyote ambavyo ni vya wazi ambavyo haviitaji uchunguzi kama dini, elimu, kabila, umri etc viko sawa, ili visitumike kama excuse.
Kwa sababu kwa akili ya kawaida haiingii akilini kwamba umejua leo kuwa mko dini tofauti. Unless otherwise kuna kitu zaidi ya dini kilichopelekea wewe kuchukua uamuzi huu ambao umeuchukua.
 
kikubwa nikua sinaplan ya kumuoa na yeye anajua ntamuoa. Nilivyomuapproach nilijua ni girl ambae tutakua pamoja kwa kipindi flani then tutaachana, but kwake ni toafauti. So nimeamua nimpe sababu ya tofauti ya dini angalau aelewe

Akuanani,wanaume 'nyoko' yaani anavyokuja kwako akili yake imeshapanga ww wa kuzugia,with tym anakumwaga!halafu wenyew tunavyojuaga kufall masikini!
...bora ht umemuacha na bikira yake mtt wa watu
 
Mimi inabidi nikuite ndg yangu maana umefanya kama ulivyoyaita maamuzi magumu.Nitajitahidi kuendeleza pale uliposhindwa.
 
hongera sana
umeamua jambo la maana sana yan
wengu hua wanadharau sula la dini na kuhisi kila kitu kitakua ok baadae
bt ukiona kabisa haitawezekana kumfata au yeye kukufata ni bora kutengana mapema
hongera sana
 
Kwanini ulimtongoza wakati unajua huwezi kuoa mtu wa dini tofauti na wewe? Wewe ndio umekosea toka mwanzo.
 
Mi kwa kweli ningemgegeda.

tatizo ni kua anamatatizo ya presha, alcers. Just imagine nimemwambia hivyo kua sitamuoa coz of dini juzi jana asubuhi kaamkia hospital, sasa kama ningesex nae alafu baadae kabisa nikaja kumwambia simuoi unadhani ingekuaje, si ndo kesi za mtu kufa au kujiua kwa ajili yako
 
iv kwa nin mabinti kwenye mahusiono wanatanguliza ndoa?? sio kila mahusiano mfikie kwenye ndoa, mengine ni ya kurambana sukari tuuu. girls u shld know that c kila mahusiano ni ndoa!!!!

kweli kabisa, just imagine me am 24 na yeye 21, me nimemaliza chuo mwaka huu sina hata kazi, na yeye ndo kaanza diploma anawaza nitamuoa. Hajui mbeleni itakuaje
 
Kwanini ulimtongoza wakati unajua huwezi kuoa mtu wa dini tofauti na wewe? Wewe ndio umekosea toka mwanzo.

labda wewe uko tofauti, lakini ki kawaida ukiacha imani kali za kidini, kijana unakua na mahusiano na mtu mapema kabisa kwa lengo la kutimiza mahitaji ya kimwili n.k, kunakipindi inafika ndo unatafuta mtu ambae utamuoa. Mm niko kipindi cha kutafuta mtu kuridhishana kimwili thn tukikaa muda mrefu kama nikiona anafaa kuwa wife ndo nitaoa.
 
Akuanani,wanaume 'nyoko' yaani anavyokuja kwako akili yake imeshapanga ww wa kuzugia,with tym anakumwaga!halafu wenyew tunavyojuaga kufall masikini!
...bora ht umemuacha na bikira yake mtt wa watu

me nikimpenda mtu sikuwekei kua utakua wife, bt kuna kipindi nikiwa na wewe najua kua we ni wife material au sio.
 
Back
Top Bottom