Gorgeousmimi
JF-Expert Member
- Jun 21, 2010
- 9,296
- 7,688
kisha watoto watalea katika imani ipi?Uliwahi kuzungumza nae kuhusu utofauti wa dini zenu? Labda angekuwa radhi kubadili je? Sijaona kama hicho ni kigezo cha kumuacha kaka, kubali tu hukumpenda dada wa Magogoni. Una complicate tu kiongozi hapa, mngekaa mkaongea, kwanini msioane na kila mtu abaki na dini yake? MTENGWA HUKUMPENDA HUYO DADA FULLSTOP!