nasikitika, lakini sikuwa na jinsi

nasikitika, lakini sikuwa na jinsi

mtengwa

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2011
Posts
1,603
Reaction score
871
habari zenu wa mmu. Leo nimefanya maamuzi mazito kabisa. Ni hivi mimi nina mpenzi wangu ambae tuna muda wa miezi 6 tangu tumekua pamoja japo muda 80 percent ya mapenzi yetu yalikua kwa njia ya mawasiliano, as kwanza tulikua mikoa tofauti na nilivyokuja dar yeye yupo dar hii lakini ni geti kali na anasoma chuo cha MAGOGONi. Tatizo ni kuwa yeye ananipenda sana na kila siku anaongelea swala la kuoana, wakati me sijamfikiria kumuoa. Kikubwa zaidi yeye ni bikra na uzuri hatujawahi kusex bt tulipanga siku za karibuni. Nimeamua kumwambia ukweli kuwa sitaweza kumuoa kwa vile yeye na mimi tuko dini tofauti, amelia sana but me nimeona ni bora kuliko ningemwambia baada ya kusex nae. Wadau nimefanya uamuzi sahihi au nimekosea?
 
Umefanya uamuzi sahihi sana na ninakupongeza. Ila kama huna mpango wa kumuoa na kweli kama ni bikra ni bora usiharibu bikra yake. Mueleweshe kuwa hiyo ni hazina na ingependeza kuitoa na mtu ambaye angalao ana matumaini ya kumuoa. Ila pia dini ni kitu mnahofia sana au? Kuna ndoa za dini mseto siku hizi, kila mtu anabaki na dini yake!!! Na kama unampenda mtu kwa dhati masuala ya dini yanakuwa pembeni kabisa. Tafakari, amua, chukua hatua.
 
ovyooooooooo! jiheshimu weweeee!....tehee!
 
Magogoni siku hizi wanasoma watoto wa miaka 12? Bikra? Ya wapi?

He he, umejinyima uhondo bure.
 
Umefanya vizuri sana........japo ukweli huwa unauma........ila ni upepo tu utapita.......
 
Magogoni siku hizi wanasoma watoto wa miaka 12? Bikra? Ya wapi?

He he, umejinyima uhondo bure.

Ni bikira bwana.......kwani ile ya ndimu wewe unaiitaje........?
 
Kama wewe ni Al Shabaab ni bora umeamua kumwacha kuliko kumweka kwenye gereza lisilo na msamaha wa rais.
 
Dini si tatizo kwani una uhakika gani kama baba yako au yake hakuenda chaka ktk kuchagua dini.Mimi linapokuja suala la dini mimi binafsi huangalia ni dhehebu gani liko sahihi kulingana na mafundisho yake bila kujali baba wala mama maana mbinguni tutahojiwa mmoja mmoja.Unaweza kung'ang'ania dhehebu la wazazi wako kumbe labda baba alibadilishwa kwa sababu ya fedha, mke na hivyo kushindwa kuchagua dhehebu sahihi.
 
ungekula mzigo mkuu...kwan wote si mnaenjoyyy?...na hamna mtu anapoteza kitu
 
habari zenu wa mmu. Leo nimefanya maamuzi mazito kabisa. Ni hivi mimi nina mpenzi wangu ambae tuna muda wa miezi 6 tangu tumekua pamoja japo muda 80 percent ya mapenzi yetu yalikua kwa njia ya mawasiliano, as kwanza tulikua mikoa tofauti na nilivyokuja dar yeye yupo dar hii lakini ni geti kali na anasoma chuo cha MAGOGONi. Tatizo ni kuwa yeye ananipenda sana na kila siku anaongelea swala la kuoana, wakati me sijamfikiria kumuoa. Kikubwa zaidi yeye ni bikra na uzuri hatujawahi kusex bt tulipanga siku za karibuni. Nimeamua kumwambia ukweli kuwa sitaweza kumuoa kwa vile yeye na mimi tuko dini tofauti, amelia sana but me nimeona ni bora kuliko ningemwambia baada ya kusex nae. Wadau nimefanya uamuzi sahihi au nimekosea?

Umekuwa sahihi ila nadhan kama unampenda kweli dini haiwezi kuwa kigezo 7bu mnaeza kukaa pamoja na kujadili ni kuafiki kama mmoja wenu anaezabadili dini ama kila mmoja kubaki na dini yake hata baada ya kuoana
 
Ni bikira bwana.......kwani ile ya ndimu wewe unaiitaje........?

Bikira zipo tena original kama wewe ya kwako uliigawa kabla ya kuolewa shame on you.Ulipaswa kumtunzia mmeo na si vinginevyo hivyo usiwakejeli walio nazo.Bikira zipo tena hata kwa wadada waliomaliza University. Kama amelelewa kwa malezi yanayompendeza bwana lazima bikira iwepo.
 
Back
Top Bottom