Ni kweli alikuwa na ubaya, lakini na uzuri alikuwa nao

HUSSEN KAMBI

Senior Member
Dec 4, 2023
175
212
Kwanza nianze kumuombea dua Mungu amlipe kutokana na matendo yake mimi binafsi sikatai alikua na ubaya lakini na uzuri alikua nao miongoni mwa mabaya katika utawala wake.

Kwanza alikua mtemi kwa wana siasa na matajiri, pia matajiri wengi kwenye utawala wake walikua wanapewa sana Kessy za uhujumu uchumi, wana siasa wengi walikua wanapewa kessy za uchochezi, kiujumla halikua apendi kukosolewa, kwenye utawala wake likazuka kundi la watu wasio julikana haya mambo nilio ya taja yaliofanyika kwenye utawala wake hata mimi hilipelekea ni mchukie.

Hayo yalikua ni sehemu ya mabaya yake, na ikasababisha hata mazuri yake machache haliokua nayo nisi yaone, moja ya mazuri yake halikua akisema mradi huu mpaka mda fulani hue umekamilika na inakua kweli inakua hivyo, lingine halikua na ma amuzi yakutaka sifa lakini yalikua na faida kwa mtu wa hali ya chini mfano anaweza ku uliza nimtumbue nisi mtumbue watu wakisema mtumbue basi kweli anamtumbua kama hilivyokua kwa marehemu wilsoni kabwe.

Haya ma amuzi pamoja yalikua ya sifa lakini yalipelekea viongozi wengi wa ngazi ya chini kutojiona miungu watu kama hilivyo sasa, kila kiongozi anafanya vile anavyotaka yeye utafikiri nchi haina mkubwa, sasa hivi anaweza akatokea tajiri anamuambia waziri wa maji mimi nina mradi wangu wa uchimbaji visima, lakini wateja hakuna kwasababu maji mabombani yanatoka.

Kwahio mh waziri mm nitakupa hela kidogo hili huwa agize watu wa chini yako, wakate maji hata mwezi hili watu waone umuhimu wakuchimba visima, waziri anamkubaria, tajiri anaweza kumuambia waziri wa nishati mh waziri nina mradi wangu wa majenereta, lakini watu hawa nunui nina sheli lakini mafuta siuzi wateja hakuna nina solar lakini wateja sipati, na haya kwasababu umeme haukatiki, kwahio nitakupa mzigo kidogo hili.

Huwa ambie watu wa chini yako, watengeneze mgao wa kimagumashi, hili watu wajue umuhimu wakua na majenereta pamoja na solar, mambo haya utawala wa marehemu yalikua hayapo, lakini utawala wa sasa haya ndio yanayofanyika, hayo ni sehemu ya mazuri ya yule mjomba, utawala wake miradi mingi halianzisha na yote hili kamilika kwa wakati, tofauti na hilivyo sasa zuri lake jingine huyu marehemu kila likitokea jambo linalo husu taifa.

Lazima atalitolea ufafanuzi haijalishi utaridhika na ufafanuzi wake au vp halikua na ma amuzi ya haraka lakini mengi yalikua na faida kwa watu wa hali ya chini, na maumivu kwa matajiri na wana siasa, nina uhakika usiokua na shaka kama mpaka leo angekua hai, basi nina uhakika kwa tabu tunayo ipata kuhusu maji.

Basi jumaa awesu leo hii asingekua ofisini wa na kuhusu umeme tabu tunayo ipata kuhusu umeme nina uhakika waziri nishati asingekuwepo ofisini mpaka leo hayo ni baadhi ya machache mazuri katika utawala wake yeye kiongozi akikosea hilikua asemi na hili mkalitazame yy alikua anachukua hatua hapo hapo, tofauti na sasa raia wa hali ya chini.

Tumekua kama yatima, hatuna anaetusemea kwahio mazuri halikua nayo mabaya pia halikua nayo baya ambalo halito sahaulika ni kutuwekea watu wa wasio jitambua bungeni halmashauri na kwenye mabaraza ya kata, kuturejeshea mfumo wa chama kimoja, kwahio pamoja na ubaya aliokua nao na uzuri pia halikua nao.

Huo ndio ukweli kwa haya nilio andika najua kuna watu, wanaompenda, sana, watakubariana na mimi kwenye mazuri hila kwenye ubaya watanipinga, na kwa wale wanaomchukia sana watakubariana na mimi kwenye ubaya kwenye mazuri watanipinga, na wale wenye kukubaliana na ukweli watanikubalia kwa yote niliosema, na wale wenye kukataa ukweli watanipinga kwa yote niliosema.

Ahsanteni sana kama kuna sehemu nimekosea basi nisameheni mimi bina adamu kukosea ni sehemu ya ukamilifu wa ubinadamu.
 
Alikuwa na mazuri mwengi kuliko mabaya ....

Kama utakuwa na akili alikuwa anatumia uongozi wa kuongoza familia ,cha kwanza hakutaka watu wawe na wasiwasi kabisa .

Hata kama alikopa hakutaka watu wawe wanyonge kwa kujiona ombaomba alificha.

Ni hivi hata wewe ukiwa mkuu wa familia ukienda kukop kwa mgosi huwezi kuwaambia wanao ila kikubwa unahakikisha wamekula ,huwezi kuacha watu wanasambaza taarifa zinaleta mtafaruku na hofu kwa watu ukae kimya tu ...Hata mimi ningewamaliza kabisa kama uchaguzi ulishaisha.
 
Kwanza nianze kumuombea dua mungu hamlipe kutokana na matendo yake mimi binafsi sikatai alikua na ubaya lakini na uzuri alikua nao miongoni mwa mabaya katika utawala wake kwanza halikua mtemi kwa wana siasa na matajiri, pia matajiri wengi kwenye utawala wake walikua wanapewa sana Kessy za uhujumu uchumi, wana siasa wengi walikua wanapewa kessy za uchochezi, kiujumla halikua apendi kukosolewa, kwenye utawala wake likazuka kundi la watu wasio julikana haya mambo nilio ya taja yaliofanyika kwenye utawala wake hata mimi hilipelekea ni mchukie, hayo yalikua ni sehemu ya mabaya yake, na ikasababisha hata mazuri yake machache haliokua nayo nisi yaone, moja ya mazuri yake halikua akisema mradi huu mpaka mda fulani hue umekamilika na inakua kweli inakua hivyo, lingine halikua na ma amuzi yakutaka sifa lakini yalikua na faida kwa mtu wa hali ya chini mfano anaweza ku uliza nimtumbue nisi mtumbue watu wakisema mtumbue basi kweli anamtumbua kama hilivyokua kwa marehemu wilsoni kabwe, haya ma amuzi pamoja yalikua ya sifa lakini yalipelekea viongozi wengi wa ngazi ya chini kutojiona miungu watu kama hilivyo sasa, kila kiongozi anafanya vile anavyotaka yeye utafikiri nchi haina mkubwa, sasa hivi anaweza akatokea tajiri anamuambia waziri wa maji mimi nina mradi wangu wa uchimbaji visima, lakini wateja hakuna kwasababu maji mabombani yanatoka, kwahio mh waziri mm nitakupa hela kidogo hili huwa agize watu wa chini yako, wakate maji hata mwezi hili watu waone umuhimu wakuchimba visima, waziri anamkubaria, tajiri anaweza kumuambia waziri wa nishati mh waziri nina mradi wangu wa majenereta, lakini watu hawa nunui nina sheli lakini mafuta siuzi wateja hakuna nina solar lakini wateja sipati, na haya kwasababu umeme haukatiki, kwahio nitakupa mzigo kidogo hili. Huwa ambie watu wa chini yako, watengeneze mgao wa kimagumashi, hili watu wajue umuhimu wakua na majenereta pamoja na solar, mambo haya utawala wa marehemu yalikua hayapo, lakini utawala wa sasa haya ndio yanayofanyika, hayo ni sehemu ya mazuri ya yule mjomba, utawala wake miradi mingi halianzisha na yote hili kamilika kwa wakati, tofauti na hilivyo sasa zuri lake jingine huyu marehemu kila likitokea jambo linalo husu taifa, lazima atalitolea ufafanuzi haijalishi utaridhika na ufafanuzi wake au vp halikua na ma amuzi ya haraka lakini mengi yalikua na faida kwa watu wa hali ya chini, na maumivu kwa matajiri na wana siasa, nina uhakika usiokua na shaka kama mpaka leo angekua hai, basi nina uhakika kwa tabu tunayo ipata kuhusu maji, basi jumaa awesu leo hii asingekua ofisini wa na kuhusu umeme tabu tunayo ipata kuhusu umeme nina uhakika waziri nishati asingekuwepo ofisini mpaka leo hayo ni baadhi ya machache mazuri katika utawala wake yeye kiongozi akikosea hilikua asemi na hili mkalitazame yy alikua anachukua hatua hapo hapo, tofauti na sasa raia wa hali ya chini, tumekua kama yatima, hatuna anaetusemea kwahio mazuri halikua nayo mabaya pia halikua nayo baya ambalo halito sahaulika ni kutuwekea watu wa wasio jitambua bungeni halmashauri na kwenye mabaraza ya kata, kuturejeshea mfumo wa chama kimoja, kwahio pamoja na ubaya aliokua nao na uzuri pia halikua nao, huo ndio ukweli kwa haya nilio andika najua kuna watu, wanaompenda, sana, watakubariana na mimi kwenye mazuri hila kwenye ubaya watanipinga, na kwa wale wanaomchukia sana watakubariana na mimi kwenye ubaya kwenye mazuri watanipinga, na wale wenye kukubaliana na ukweli watanikubalia kwa yote niliosema, na wale wenye kukataa ukweli watanipinga kwa yote niliosema, ahsanteni sana kama kuna sehemu nimekosea basi nisameheni mimi bina adamu kukosea ni sehemu ya ukamilifu wa ubinadamu
MABAYA YALIKUWA MENGI KULIKO MEMA

Sent from my SM-A145R using JamiiForums mobile app
 
Alikuwa na mazuri mwengi kuliko mabaya ....

Kama utakuwa na akili alikuwa anatumia uongozi wa kuongoza familia ,cha kwanza hakutaka watu wawe na wasiwasi kabisa .

Hata kama alikopa hakutaka watu wawe wanyonge kwa kujiona ombaomba alificha.

Ni hivi hata wewe ukiwa mkuu wa familia ukienda kukop kwa mgosi huwezi kuwaambia wanao ila kikubwa unahakikisha wamekula ,huwezi kuacha watu wanasambaza taarifa zinaleta mtafaruku na hofu kwa watu ukae kimya tu ...Hata mimi ningewamaliza kabisa kama uchaguzi ulishaisha.
Hilo la kusema alikuwa anakopa silikubali! Alikuwa hapendwi na mabeberu! Watamkopeshaje? Upanuzi wa njia ya kimara hadi kibaha alienda kukopa wakamkatalia na kumwekea masharti makali ya barabara 4 yaani 2/2. Akasema atajenga kwa hela yake na akajeng kweli njia 12. 6(3/3) + 2 mwendokasi + 4 service road. Miradi ya Bwawa la Nyerere na SGR mabeberu yasingemkopesha kwasababu waliipinga! Sasa hela aliitoa wapi? Jamaa alikuwa mwamba kwelikweli!
 
Hilo la kusema alikuwa anakopa silikubali! Alikuwa hapendwi na mabeberu! Watamkopeshaje? Upanuzi wa njia ya kimara hadi kibaha alienda kukopa wakamkatalia na kumwekea masharti makauli ya barabara 4 yaani 2/2. Akasema atajenga kwa hela yake na akajeng kweli njia 12. 6(3/3) + 2 mwendokasi + 4 service road. Miradi ya Bwawa la Nyerere na SGR mabeberu yasingemkopesha! Sasa hela aliitoa wapi? Jamaa alikuwa mwamba kweli
Upo sahihi !


Yule alokuwa kiongozi bhana
 
Hakuna chochote alichofanya huyo jamaa . madaraja ,na barabara kila mtu anaweza kujenga hata wakoloni walifanya hivyo ,nchi ili iende mbele inabidi kuongozwa na mifumo na sio matamko ya MTU mmoja.

Tanzania bado ni nchi masikini ambayo inasumbuliwa na
Umasikini
Ujinga
Maradhi na sasa nyege

Sasa Kama kila siku mnashindwa kumuondoa adui ujinga mnategemea nini.
 
Binadamu hakosi mapungufu mkuu. Kupitia mazuri ya mtu tunashukuru, lakini kupitia mabaya ya mtu tunapata kujifunza jambo.

Kwa sasa tunapitia kipindi kigumu sana, nimependa msemo wako (YATIMA). Tumeachwa na baba angali hatujiwezi, mama nae kapata bwana mwingine hata hajali familia.
 
Hakuna chochote alichofanya huyo jamaa . madaraja ,na barabara kila mtu anaweza kujenga hata wakoloni walifanya hivyo ,nchi ili iende mbele inabidi kuongozwa na mifumo na sio matamko ya MTU mmoja.

Tanzania bado ni nchi masikini ambayo inasumbuliwa na
Umasikini
Ujinga
Maradhi na sasa nyege

Sasa Kama kila siku mnashindwa kumuondoa adui ujinga mnategemea nini.
alikuwa mpumbavu tu....kwanza hata watoto wake wana hasara kuwa na baba kama yule
 
Hakuna chochote alichofanya huyo jamaa . madaraja ,na barabara kila mtu anaweza kujenga hata wakoloni walifanya hivyo ,nchi ili iende mbele inabidi kuongozwa na mifumo na sio matamko ya MTU mmoja.

Tanzania bado ni nchi masikini ambayo inasumbuliwa na
Umasikini
Ujinga
Maradhi na sasa nyege

Sasa Kama kila siku mnashindwa kumuondoa adui ujinga mnategemea nini.
Sawa, em Taja rais mmoja aliyefanya kitu mana JPM hajafanya chcht kwa mujibu wako
 
Watumishi wa Umma piteni hapa muandike mabaya ya yule chizi.
1. Miaka sita bila nyongeza wala ongezeko la mwaka la mshahara.
2. Miaka sita bila kupanda madaraja.
Miaka sita bila nyongeza ya Mshahara, mafuta unauziwa kwa shilingi 2000, mwaka mmoja wa nyongeza ya Mshahara mafuta unauziwa shilingi 3200! Tumia akili yako vizuri,hilo ongezeko la Mshahara umepigwa na kitu kizito bila kujijuwa!!
 
Nchi nyingi za africa ili ziendelee zinahitaji mtu wa caliber ile,
Mtu mwenye uzalendo na mfia nchi, demokrasia na maneno mengi hayafanyi kazi huku kwetu.
Haiwezekani sehemu inahitaji hospitali na huduma nyengine za kijamii tukae tuanze kujadiliana miaka mi 5 jinsi ya ku peleka ayo mahitaji.
 
Uongozi wa kuongoza familia ni upuuzi mtupu katika taifa la watu milioni 60. Sisi raia wote wa nchi hatuwezi kufanyika familia ya mtu mmoja anayeamua mambo kama baba au mama yetu.
Alikuwa na mazuri mwengi kuliko mabaya ....

Kama utakuwa na akili alikuwa anatumia uongozi wa kuongoza familia ,cha kwanza hakutaka watu wawe na wasiwasi kabisa .

Hata kama alikopa hakutaka watu wawe wanyonge kwa kujiona ombaomba alificha.

Ni hivi hata wewe ukiwa mkuu wa familia ukienda kukop kwa mgosi huwezi kuwaambia wanao ila kikubwa unahakikisha wamekula ,huwezi kuacha watu wanasambaza taarifa zinaleta mtafaruku na hofu kwa watu ukae kimya tu ...Hata mimi ningewamaliza kabisa kama uchaguzi ulishaisha.
 
alikuwa mpumbavu tu....kwanza hata watoto wake wana hasara kuwa na baba kama yule
Sema tusimlaumu ni uhaba wa maarifa na elimu ndo vitu vilikuwa vinamsumbua Sana .

EGO ilimvaa ghafla na akasahu kuwa yeye ni binadamu wa kawaida Sana.

Tanzania Kama Taifa kuna WATU wapumbavu wengi ambao wanaamini ili nchi iende mbele Unabidi kuwa mropokaji, muuaji na MTU Wa kufoka foka.
 
Uongozi wa kuongoza familia ni upuuzi mtupu katika taifa la watu milioni 60. Sisi raia wote wa nchi hatuwezi kufanyika familia ya mtu mmoja anayeamua mambo kama baba au mama yetu.
Yule ndio mkubwa sana wa nchi ,nyie ndio wa kuminya kende .
 
Back
Top Bottom