nasikitika, lakini sikuwa na jinsi

nasikitika, lakini sikuwa na jinsi

Uliwahi kuzungumza nae kuhusu utofauti wa dini zenu? Labda angekuwa radhi kubadili je? Sijaona kama hicho ni kigezo cha kumuacha kaka, kubali tu hukumpenda dada wa Magogoni. Una complicate tu kiongozi hapa, mngekaa mkaongea, kwanini msioane na kila mtu abaki na dini yake? MTENGWA HUKUMPENDA HUYO DADA FULLSTOP!
 
samahani swali dogo.."umejuaje kuwa ni bikra" wakati 80% mlikuwa mnawasiliana through phone?
 
Bikira zipo tena original kama wewe ya kwako uliigawa kabla ya kuolewa shame on you.Ulipaswa kumtunzia mmeo na si vinginevyo hivyo usiwakejeli walio nazo.Bikira zipo tena hata kwa wadada waliomaliza University. Kama amelelewa kwa malezi yanayompendeza bwana lazima bikira iwepo.

He!......!!!!
 
Watu kama nyinyi ndo unatufanya wengne tuonekane mabazazi tusio na utu! Any way hongera wewe ni ndoto ya wazazi wengi hasa wenyd watoto wa kike ambao wanatolewa bikra zote mbili hata kama hawajafika miaka 18.
 
we ulikua unataka kula mzigo usepe sa umebaniwa kwa condition mpk marriage umeona bora usepe..! ni vizur kwa uamuzi uliouchukua mkuu.

hapana kijana, girl alikua tayari tu sex akiamini me ndo nitamuoa, lakini kutoka moyoni sikupanga kumuoa na nikajua tu nitakuja kuachana nae baadae. Ndo maana nikaamua hivyo
 
Watu kama nyinyi ndo unatufanya wengne tuonekane mabazazi tusio na utu! Any way hongera wewe ni ndoto ya wazazi wengi hasa wenyd watoto wa kike ambao wanatolewa bikra zote mbili hata kama hawajafika miaka 18.

ni kweli unachosema, me nimeamua hivyo kwa sababu nimempima girl, kila siku anakuja nampya kuonyesha dalili anawaza kuolewa na mimi, mfano anataka nimtambulishe nyumbani, nikajitambulishe kwao n.k, kwa jinsi nilivyomuona anaweza kufanya chochote kibaya baadae kama nisipo muoa, nimeona nimwambie mapema afanye uamuzi
 
Mpo wachache sana kwenye Dunia hii wenye Busara kama zako,Hongera sana mkuu * Umeacha kuitawanya Bikra hiyo duh vitu adimu sana hivyo mi naelekea kuzeeka nilisha kutana na 3 tu
 
samahani swali dogo.."umejuaje kuwa ni bikra" wakati 80% mlikuwa mnawasiliana through phone?

kweli sijawahi ku prove about her virginity, yeye ndo kaniambia tu. Kwa upendo wake na matumaini yake ya mimi kumuoa yamenifanya niamini ni bikra. Pia nilishamwambia kama nikikuta sio bikra namuacha akaniambia sawa ipo siku nitajionea
 
Mpo wachache sana kwenye Dunia hii wenye Busara kama zako,Hongera sana mkuu * Umeacha kuitawanya Bikra hiyo duh vitu adimu sana hivyo mi naelekea kuzeeka nilisha kutana na 3 tu

hata mimi nilitamani ningemtoa lakini nimeangalia mbele, kama mtu anamatumaini asilimia zote utamuoa pia anatatizo la alcers na presha. Kama nikimuuzi kidogo analia siku nzima. Unadhani atafanyaje kama nikamtoa bikra nikawa nae zaidi karibu,alafu baadae nimuache/nioe mwingine?
 
Uliwahi kuzungumza nae kuhusu utofauti wa dini zenu? Labda angekuwa radhi kubadili je? Sijaona kama hicho ni kigezo cha kumuacha kaka, kubali tu hukumpenda dada wa Magogoni. Una complicate tu kiongozi hapa, mngekaa mkaongea, kwanini msioane na kila mtu abaki na dini yake? MTENGWA HUKUMPENDA HUYO DADA FULLSTOP!

umeongea ukweli yah. Swala la msingi ni kua mimi nilimtokea with intention ya kuliwazana kwa kipindi flani bt kwake yeye akajua amepata mume tayari.
 
Soma kitabu kimoja kinaitwa, ''Bikira yangu'' kimeandikwa na P. Karugendo kitakusaidia sana ktk ''issue'' yako na zingine mfano wa hizi.
 
mfano tungekwambia umekosea utamrudia?
ila big up uamuz wa busara.
 
Umefanya uamuzi sahihi sana na ninakupongeza. Ila kama huna mpango wa kumuoa na kweli kama ni bikra ni bora usiharibu bikra yake. Mueleweshe kuwa hiyo ni hazina na ingependeza kuitoa na mtu ambaye angalao ana matumaini ya kumuoa. Ila pia dini ni kitu mnahofia sana au? Kuna ndoa za dini mseto siku hizi, kila mtu anabaki na dini yake!!! Na kama unampenda mtu kwa dhati masuala ya dini yanakuwa pembeni kabisa. Tafakari, amua, chukua hatua.

Kubwa zaidi kutoka moyoni ni kua sijafikiria kumuoa na ukichanganya na tofauti za dini ndo kabisa. Nimeamua kumwambia kuwa haitawezekana kuoana kutokana na tofauti za dini angalau nimpe sababu ambayo ni nzito.
 
Back
Top Bottom