FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 36,063
- 40,724
- Thread starter
- #161
#COVID19 - Tanzania yafatilia uwapo wa aina mpya ya kirusi cha UVIKO-19
Waziri wa Afya nchini Tanzania , Ummy Mwalimu, amesema serikali ya nchi hiyo inafuatilia uwapo wa aina mpya ya kirusi cha UVIKO-19 kilichothibitishwa na Shirika la Afya Duniani (WHO). Alisema kirusi hicho, kinajumuisha kirusi cha Delta na Omicron, ambacho kimejiunda na kuwa kirusi kipya cha...
www.jamiiforums.com