mr sangoyi
JF-Expert Member
- Dec 27, 2014
- 331
- 292
Hahaha Judge ana degree moja, mshahara wake mkuuubwa, allowances za kumwaga, Gari na Dereva anapewa, Nyumba nzuri pia ulinzi. Sasa sikiliza Mwalimu , hata angekuwa na PhD kama Muheshimiwa Magufuli, utasikia anasubiria kupandishwa madaraja.Mshahara kupanda mpaka atishie anaacha kazi.I agree with you...
Walimu walipaswa huwa na payscale sawa na majudge!
yes walitakiwa walipwe Zaidi...
hii ingewa attract watu makini, wenye uwezo mkubwa kufundisha na wenye uwelewa kubwa,in terms of qualifications,...
sio kama sasa hivi,ualimu ni kwa wale failures ,,,ni kama label vile,ukichukua ualimu inaonyesha Marks zako huko nyuma zilikua kwa mbinde...
yaani katika jamii yetu uwalimu=failure in academic achievement.
we have to change this attitude,
ba tutafanya hivyo pale ambapo walimu watapewa mishahara inayostahili,na pale ambapo Fani ya uwalimu imefanikiwa kuchota walimu ambao wako competent,wana qualifications sawa na profession nyingine kama doctor,lawyer etc
Serikali ibadilishe vigezo vya kuombea uwalimu,waweka tighter system,waliofaulu tu ndio waruhusiwe kufundisha
Hahaha Judge ana degree moja, mshahara wake mkuuubwa, allowances za kumwaga, Gari na Dereva anapewa, Nyumba nzuri pia ulinzi. Sasa sikiliza Mwalimu , hata angekuwa na PhD kama Muheshimiwa Magufuli, utasikia anasubiria kupandishwa madaraja.Mshahara kupanda mpaka atishie anaacha kazi.
Huwa nasema ualimu haujawahi kuwa na mtetezi duniani, hii hoja mnaiumiza bure muiache tu.
Ndio ukweli lakini hata ukiguna best.mnhhh
Ndio ukweli lakini hata ukiguna best.
Nimesema Judge ana degree moja lakini mshahara wake na yale tunaita marupurupu yanatisha, ukija kwa mwalimu mshahara kiduchu, na hata kupandishwa mshahara mpaka chama cha walimu kipige kelele au watishie kugoma.nimeguna sababu sijakuelewa
Nimesema Judge ana degree moja lakini mshahara wake na yale tunaita marupurupu yanatisha, ukija kwa mwalimu mshahara kiduchu, na hata kupandishwa mshahara mpaka chama cha walimu kipige kelele au watishie kugoma.
Si kweli kuna dogo kagonga 3 ya 12 advance na anasomea ualimu wa masomo ya sayansi UDSM. 2 na three nani kakwambia?Sijui kwa vyuo vingine ila kwa UDSM ili uchaguliwe kusomea huo Ualimu ni division one na two.
Sent using Jamii Forums mobile app
It will never be fair,Life is not fair....
Wangeweka mshahara na marupurupu Mengi kwa walimu,inge attract watu makini
Hakuna 3 ya 12 hiyo ni two....Si kweli kuna dogo kagonga 3 ya 12 advance na anasomea ualimu wa masomo ya sayansi UDSM. 2 na three nani kakwambia?
Sent using Jamii Forums mobile app
Ongeza na uaskariIt will never be fair,
Na ualimu umekuwa kama utumwa tu.
Mwalimu aliye pata division one na two anazo mbinu za kufauru mtihani, mbinu za kufauru mtihani hatusomei chuoni, mbinu za kufauru mtihani anazo yule mwalimu aliye fauru mtihani huo. Tutumie walimu wenye ushuhuda
Naishauri Serikali yangu iajiri Walimu wenye division two na One kwenye vyeti vyao vya kidato cha nne (olevel) na kidato cha sita (Alevel) kwenye shule zetu za Serikali, kwa sababu Walimu hawa ndio wenye mbinu za kujisomea na kufaulu mtihani. Ikiwaajiri hao watawapatia Wanafunzi wetu mbinu za kujisomea na kufaulu mitihani.
Naishauri pia Serikali yangu ijaribu kuwachukua Wahitimu wa vyuo vikuu walio somea fani mbalimbali walio faulu vizuri kidato cha nne na sita (division 2 na division 1) wakafundishe shule za Serikali kwa sababu wanazo hizo mbinu za kujisomea na kufaulu mtihani. Wawalipe mshahara ule ule wa kawaida.
Ili Serikali iweze kushindana na shule za binafsi (private) iajiri Walimu wenye uwezo (competent teachers), ambao kiukweli kuwapata ni ngumu sana katika kada ya ualimu, wanafunzi wengi wanao somea ualimu ni wale wenye ufaulu mdogo (division three).
Mimi ningelikuwa Mwalimu wa Serikali Mwanafunzi wangu asingepata F, kwenye somo langu, kwa sababu Serikali huwa inachukua wanafunzi walio faulu sana mtihani wa darasa la saba, kinacho tokea ni kwamba walimu wao ndio wanao waharibu mpaka wanafeli kwasababu walimu wengi kule hawana material kichwani.
Nitoe tu ushuhuda huu kipindi tunafundisha shule moja ya binafsi (private), tulikua tukimpata mwanafunzi anayetoka shule ya serikali kuja shule yetu, tunahesabu hiyo ni A, kwasababu mwanafunzi wa serikali huwa analewa haraka mno akipata mwalimu mwenye uwezo.
Asilimia 90 ya shule za binafsi (private) zinachukua wanafunzi wasio elewa haraka (slow learners) lakini kwasababu wana walimu wenye uwezo (competent teachers), wana wabadili wanafunzi hao wanapata one, na two. Walimu wengi wa private ni wale wenye one na two, katika mitihani yao ya olevel na advance, ni walimu wenye historia fulani ya kujituma kimasomo wakiwa shuleni wanasoma, mwanafunzi mwingine historia tu ya mwalim inatosha kumfaurisha.
Mimi nae ongea nimewahi kufundisha private, na hicho ndicho nilicho kiona. Serikali inatumia walimu walio feli mno, mwalimu aliye feli, huyo maana yake hakuwa na bidii wakati anasoma, kwa hiyo hawezi kuwavisha roho ya bidii wanafunzi wake.
Mwalimu aliye pata division one na two anazo mbinu za kufauru mtihani, mbinu za kufauru mtihani hatusomei chuoni, mbinu za kufauru mtihani anazo yule mwalimu aliye fauru mtihani huo. Tutumie walimu wenye ushuhuda.
Mwalimu aliye pata S au E ya physics au math au chemistry, au history advance huo hana mbinu za kufaulu mtihani, hivyo hawezi mshuhudia mwanafunzi akafaulu mtihani.
Wanafunzi wengine wanapo fundishwa na mwalimu aliye perform vizuri nao wanapata hamasa wanasoma kwa bidii ili wanafaulu.
Ni hayo tu.
Ahsanteni sana
Mungu ibariki Tanzania.
mshauri kwanza mama ako apunguze kuzaaa haya mengine naona yako juu ya uwezo wako!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu umetumia lugha kali kumjibu mtoto, ana stress matokeo yake ya from iv yametoka sio mazuri ndio maana anabwabwaja