Nashauri Serikali iajiri Walimu wenye ufaulu wa daraja la kwanza au la pili kwenye vyeti vya elimu ya sekondari(Kidato cha nne na sita)

Heshimu taaluma za watu. Usifikie hatua ya kutoa maamuzi kwa tafiti zako zisizo na ushahidi wa kisayansi.

Ufaulu wa mtu binafsi sio kigezo cha kufaulisha wengine. Wapo wengi wenye ufaulu wa juu lakini uwezo wa kufundisha ni sifuri.

Uwezo wa kuwasilisha somo kwa wanafunzi na wakalielewa huwa nahesabu ni kama zawadi mtu anayopewa na Mungu.

Wamezaliwa kutufundisha pamoja na kuwafundisha watoto wetu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Elimu ya bongo haitokaa kufanikiwa kama tunafundishwa na watu waliopata matokeo mabovu form four na form six.
Walimu wengi ni vilaza
Sasa wewe ulipata div 3 form four utawezaje kunfundisha mtoto apate div 1????
Upopoma wa walimu ni chanzo kikubwa cha kushuka kwa elimu ya tz

Wajifunze kutoka vyuo vikuu.
ONLY THE BEST STUDENTS ARE ELIGIBLE TO TEACH sio hawa vilaza waliokuwa wanafeli secondary.

NB sio walimu wote ni mapopoma ila wengi wao walikuwa failures tu wameingia kwenye ualimu kutafta mkopo asilimia 100


Sent from my iPhone using JamiiForums
Wewe shule ya msingi au secondary ulifundishwa na Walimu wote wenye division 1 & 2?
 
Wewe hata kama ulifaulu kuna mawili labda uliangalizia au uli kuwa bingwa wa kukariri kwa sababu huna hata uwezo wa kujenga hoja, una generalize kwamba serikalini walimu wamefeli ndio maana na wanafunzi wana feli..rudi kafanye utafiti kama A material siyo kuandik kama mtu ambaye hakwenda shule
 
Wewe shule ya msingi au secondary ulifundishwa na Walimu wote wenye division 1 & 2?

Mkuu mimi kuna masomo sekondari nilifundishwa na walimu waliokuwa wamefaulu vyema sekondari mfano hesabu, physics, chemistry na biology. Na ukiangalia ufaulu wangu kwenye hayo masomo olevel ulikuwa mzuri ukiconpare na mengine.


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Heshimu taaluma za watu. Usifikie hatua ya kutoa maamuzi kwa tafiti zako zisizo na ushahidi wa kisayansi.

Ufaulu wa mtu binafsi sio kigezo cha kufaulisha wengine. Wapo wengi wenye ufaulu wa juu lakini uwezo wa kufundisha ni sifuri.

Uwezo wa kuwasilisha somo kwa wanafunzi na wakalielewa huwa nahesabu ni kama zawadi mtu anayopewa na Mungu.

Wamezaliwa kutufundisha pamoja na kuwafundisha watoto wetu.

Sent using Jamii Forums mobile app

Mkuu mtu aliepata div 3 akakimbilia ualimu kisa ugumu wa maisha apate mkopo asilimia mia alizaliwa kutufundishia watoto wetu???

Mkuu uwezo wa kumfundisha mtu lazima uanze kwanza na wewe kuwa unajua unachokifundisha vyema.

Mimi nimesoma hesabu advance nimefundishwa na mwalimu aliekuwa kapata A ya hesabu advance
Cha kwanza alikuwa anatufundisha vizuri sana anakuelekeza concept nzima ya topic
Anatuelekeza vitabu gani vya kusolve na ujanja ujanja wote ili mtu ufaulu uje upate A
Nakumbuka tulikuwa tunampelekea maswali ya tranter anacheka anasema alishawai kukisolve sana anatu solvia maswali vizuri
Physics advance nakumbuka mwalimu wetu alisema yy alipata c yaani alikuwa anatufundisha notsi tu zile rahisi za darasani ukimpelekea maswali hawezi kusolve hakufundishi ujanja wowote na mwisho wa siku alisababisha physics tuione ngumu na kuisoma sana wenyewe na kuamua kujifundisha wenyewe inshort tukikomaa sana wenyewe
Inshort kwa nwanafunzi mwenye malengo ya kufika mbali(kupiga a nk) ni lazima ufundishwe na mwalimu ambae nae alifaulu vizuri. Hawa walimu wetu waliopata div 3 ndo chanzo kikuu cha watoto nao kufeli.


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Mkuu mtu aliepata div 3 akakimbilia ualimu kisa ugumu wa maisha apate mkopo asilimia mia alizaliwa kutufundishia watoto wetu???

Mkuu uwezo wa kumfundisha mtu lazima uanze kwanza na wewe kuwa unajua unachokifundisha vyema.

Mimi nimesoma hesabu advance nimefundishwa na mwalimu aliekuwa kapata A ya hesabu advance
Cha kwanza alikuwa anatufundisha vizuri sana anakuelekeza concept nzima ya topic
Anatuelekeza vitabu gani vya kusolve na ujanja ujanja wote ili mtu ufaulu uje upate A
Nakumbuka tulikuwa tunampelekea maswali ya tranter anacheka anasema alishawai kukisolve sana anatu solvia maswali vizuri
Physics advance nakumbuka mwalimu wetu alisema yy alipata c yaani alikuwa anatufundisha notsi tu zile rahisi za darasani ukimpelekea maswali hawezi kusolve hakufundishi ujanja wowote na mwisho wa siku alisababisha physics tuione ngumu na kuisoma sana wenyewe na kuamua kujifundisha wenyewe inshort tukikomaa sana wenyewe
Inshort kwa nwanafunzi mwenye malengo ya kufika mbali(kupiga a nk) ni lazima ufundishwe na mwalimu ambae nae alifaulu vizuri. Hawa walimu wetu waliopata div 3 ndo chanzo kikuu cha watoto nao kufeli.


Sent from my iPhone using JamiiForums
"KUFELI" ni neno lenye silabi chache lakini husababishwa na sababu zaidi ya mia moja.

Hiyo sababu moja uliyoishikia bango ni miongoni mwa sababu zinazowekwa mwishoni.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nifanye tafiti ya nini wakati lipo wazi hili, waliopata div 1 ni ngumu kuwakuta kwenye hiyo kozi. Watu wanataka uanasheria, udaktari n.k

Sent using Jamii Forums mobile app

Mkuu tatizo wengi humu ni walimu na wengi wao walikuwa tu vilaza darasani.
Nakumbuka mtu ukiwa kipanga unawaza engineering udaktari law na kozi zingine zenye soko na zinazolipa. Uo ualimu wao ulikuwa wanasoma watu waliozikosa kozi wanazizitaka(failures) mwamko ukivyokuwa mdogo ndo mpaka kikwete akawapa boom burendo maana siku izi kidogo watu wenye akili ila maskini wakikosa kozi zenye mkopo hukimbilia uko.

Inshort walimu wengi ni failures na hakuna failure yoyote anaweza kunfundisha mtoto akaja kuwa kipanga mzuri.


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Kama umeamua kuishauri serikali, basi ieleze kuhusu kuwaheshimu walimu na kuwaboreshea mazingira yao ya kazi na yale mazingira mengine ya pale NMB. Hizi tabia za kufundishana mbinu za kufaulu tutaendeleza lile lile tatizo la watendaji wabovu waliofaulu vizuri kwasababu walijua mbinu za kujibu mtihani lakini hawakua wakihusanisha elimu wanayopata na mazingira yetu.
Mwalimu mzuri ni yule anasaidia mwanafunzi kuyatambua mazingira yake kwa kulinganisha na vile vilivyopo kwenye mitaala, huyo mwanafunzi hawezi kufeli.


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Elimu yetu inamaajabu yaani miaka tuliyosoma Waalimu asilimia kubwa ni form four failure Daah nawapa hongera sana
 
Mkuu tatizo wengi humu ni walimu na wengi wao walikuwa tu vilaza darasani.
Nakumbuka mtu ukiwa kipanga unawaza engineering udaktari law na kozi zingine zenye soko na zinazolipa. Uo ualimu wao ulikuwa wanasoma watu waliozikosa kozi wanazizitaka(failures) mwamko ukivyokuwa mdogo ndo mpaka kikwete akawapa boom burendo maana siku izi kidogo watu wenye akili ila maskini wakikosa kozi zenye mkopo hukimbilia uko.

Inshort walimu wengi ni failures na hakuna failure yoyote anaweza kunfundisha mtoto akaja kuwa kipanga mzuri.


Sent from my iPhone using JamiiForums
Mbona unatumia maneno makali?

Unapaswa ujue kutofautisha hisia zako na hali halisi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naishauri Serikali yangu iajiri Walimu wenye division two na One kwenye vyeti vyao vya kidato cha nne (olevel) na kidato cha sita (Alevel) kwenye shule zetu za Serikali, kwa sababu Walimu hawa ndio wenye mbinu za kujisomea na kufaulu mtihani. Ikiwaajiri hao watawapatia Wanafunzi wetu mbinu za kujisomea na kufaulu mitihani.

Naishauri pia Serikali yangu ijaribu kuwachukua Wahitimu wa vyuo vikuu walio somea fani mbalimbali walio faulu vizuri kidato cha nne na sita (division 2 na division 1) wakafundishe shule za Serikali kwa sababu wanazo hizo mbinu za kujisomea na kufaulu mtihani. Wawalipe mshahara ule ule wa kawaida.

Ili Serikali iweze kushindana na shule za binafsi (private) iajiri Walimu wenye uwezo (competent teachers), ambao kiukweli kuwapata ni ngumu sana katika kada ya ualimu, wanafunzi wengi wanao somea ualimu ni wale wenye ufaulu mdogo (division three).

Mimi ningelikuwa Mwalimu wa Serikali Mwanafunzi wangu asingepata F, kwenye somo langu, kwa sababu Serikali huwa inachukua wanafunzi walio faulu sana mtihani wa darasa la saba, kinacho tokea ni kwamba walimu wao ndio wanao waharibu mpaka wanafeli kwasababu walimu wengi kule hawana material kichwani.

Nitoe tu ushuhuda huu kipindi tunafundisha shule moja ya binafsi (private), tulikua tukimpata mwanafunzi anayetoka shule ya serikali kuja shule yetu, tunahesabu hiyo ni A, kwasababu mwanafunzi wa serikali huwa analewa haraka mno akipata mwalimu mwenye uwezo.

Asilimia 90 ya shule za binafsi (private) zinachukua wanafunzi wasio elewa haraka (slow learners) lakini kwasababu wana walimu wenye uwezo (competent teachers), wana wabadili wanafunzi hao wanapata one, na two. Walimu wengi wa private ni wale wenye one na two, katika mitihani yao ya olevel na advance, ni walimu wenye historia fulani ya kujituma kimasomo wakiwa shuleni wanasoma, mwanafunzi mwingine historia tu ya mwalim inatosha kumfaurisha.

Mimi nae ongea nimewahi kufundisha private, na hicho ndicho nilicho kiona. Serikali inatumia walimu walio feli mno, mwalimu aliye feli, huyo maana yake hakuwa na bidii wakati anasoma, kwa hiyo hawezi kuwavisha roho ya bidii wanafunzi wake.

Mwalimu aliye pata division one na two anazo mbinu za kufauru mtihani, mbinu za kufauru mtihani hatusomei chuoni, mbinu za kufauru mtihani anazo yule mwalimu aliye fauru mtihani huo. Tutumie walimu wenye ushuhuda.

Mwalimu aliye pata S au E ya physics au math au chemistry, au history advance huo hana mbinu za kufaulu mtihani, hivyo hawezi mshuhudia mwanafunzi akafaulu mtihani.

Wanafunzi wengine wanapo fundishwa na mwalimu aliye perform vizuri nao wanapata hamasa wanasoma kwa bidii ili wanafaulu.

Ni hayo tu.
Ahsanteni sana
Mungu ibariki Tanzania.
Hujui kufanya analysis kabisa na ninadiriki kukuita we ni zwazwa
Unafananisha private schools ambazo zinakuwa na miundombnu zoote kwanzia madarasa Safi, waalimu wa kutosha,mazingira mazuri,maktaba nk?
Shule za serikali Zina hivi vitu?
Shule ya serikali unakuta IPO kijijin Chaka huko mwanafunzi anatoka mbali kufika shuleni yupo hoi hata afundshwe na malaika atafanana na wa private?
Mishahara ya private Ni mizuri tofauti na ya serikali,hivi utategemea mwl usimpe stahiki zake alafu utegemee matokeo?
Private Wana care waalimu wanawapa Hadi posho ya overwork je serikali il ipo?
Wewe ni mweupe mno kichwan
Hebu tazama hii shule ndio unategemea mwanafunzi afanane na private?
Hata angefundsha malaika shule za serikali bila kuwekeza mazingira mazuri ,vifaa na maslahi mazuri kwa waalimu Hakuna kitakachobadilika
Usirudie kupost upuuzi
FB_IMG_15490019553761321.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
TOHATO

Mwandiko ni media tu ya kufikisha Ujumbe. Toa maoni au mtazamo wako juu ya hoja aliyoitoa sio mwandiko. Nchi za ulimwengu wa kwanza waliofaulu vizuri go to teaching and health sciences and ndio wanaongoza kwa pay. Hapa koromije nia opposite.

Sent using Jamii Forums mobile app
Private Kuna watoto wanakaa chumba kimoja 100+?
Private kuna uhaba wa waalimu,vitabu na miundombnu?
Ni zwazwa pekee atafananisha mfumo wa private ku argue waalimu wa serikali
Hata ungeleta malaika kwa mazingira ya shule za serikali Hakuna kitakachobadli Bila serikali kufanya maboresho
Kwanza darasa liwe na wanafunz 45 tu,waalimu wa kutosha,pesa nzuri nk

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wasiwasi wangu huyu jamaa hajui alichoandika hapa, tafiti yake ya kimajinuni ame conclude kwa poor facts labda division one na two ya sekondari inaweza faulisha watoto, ngoja niishie hapo. Ila kwa thinking hii we need one more century nchini kwetu kupata wasomi, maana jamaa analicheti lake la form four linataka ajila na cheti cha o level
Lijinga hilo mkuu halijui changamoto wanazokutana nazo waalimu wa serikali hebu nambie darasa ni hili hata angefundsha malaika kuna tegemeo chanya hapa?
FB_IMG_15490019471611030.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom