Kashaulo
JF-Expert Member
- Jun 14, 2019
- 2,897
- 4,860
Nyimbo za siku hizi huwezi kusikiliza wala kutazama mbele ya mama au wakwe. Nyimbo zimejaa matusi na maudhui ya kingono tu. Na ndizo zinapewa airtime ya kutosha!
-Kaveli-
Inama nipachike rungu!